- Thread starter
- #21
mbona mkaka tu ndo anaitwa mwizi kwenye hii post? huu ni ubaguzi wa kijinsia.
ushauri zaidi nitatoa baadae.
mkuu asante kunisahihisha wote ni waizi ntaedit.
mbona mkaka tu ndo anaitwa mwizi kwenye hii post? huu ni ubaguzi wa kijinsia.
ushauri zaidi nitatoa baadae.
mbona mkaka tu ndo anaitwa mwizi kwenye hii post? huu ni ubaguzi wa kijinsia.
ushauri zaidi nitatoa baadae.
Hapo maombi yanahusika, na ikibidi viongozi wa dini wahusishwe wakati wa kumueleza mume ukweli.kabla ya kuketi kitako kumweleza mumewe inabidi afunge na kusali sana
kumwombea mumewe aondekana na hasira itakayomakabili
Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
Na huyu hapa nae usisahau kumkaribisha kwenye hilo jukwaa.nakukaribisha kwenye jukwaa la lugha.
mkuu asante kunisahihisha wote ni waizi ntaedit.
baada ya wazazi wa mdada kujua waliazimia kufanya siri kwa pamoja na mtoto ni kafanana na mamake .
Ningekubali matokeo, ningemsamehe mke na maisha yangeendelea kama kawaida lakini uaminifu ungepungua...
Ningekubali matokeo, ningemsamehe mke na maisha yangeendelea kama kawaida lakini uaminifu ungepungua...
Ahahahaaaaah!!! Si unajua kila baya lolote linalotokea katika jamii yetu tunalaumiwa wanaume!![/QUOTE]
Kumfukuza mkeo wa ndoa na kwenda kuoa mke mwingine ni lawama kwa wanaume
au kumpa msichana mimba na kukata nayo ni lawama usisahau kuzaa nje ya ndoa na kuja kumweleza mkeo akakusamehe
Ukisikia watu wa aina hiyo wanaomba ushauri maana yake wanataka mbinu ya kuepuka sakata la talaka na kuonekana wabaya!Hapa hawawezi kufanikisha hilo ndo maana nikasema waUNDO maana kama wasingefanya madudu yao wasingekua njia panda!Wamewasha redio sasa wasikilize mziki wake!Mwanamke ajiandae kwa talaka na aibu juu..na huyo mwizi mwenzake aliyeepuka talaka ajiandae kushea aibu ya mwenzake na kumsaidia kubeba talaka!FULLSTOP!WataUNDO vipi
CHETU,Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
Hapo maombi yanahusika, na ikibidi viongozi wa dini wahusishwe wakati wa kumueleza mume ukweli.
Ukisikia watu wa aina hiyo wanaomba ushauri maana yake wanataka mbinu ya kuepuka sakata la talaka na kuonekana wabaya!Hapa hawawezi kufanikisha hilo ndo maana nikasema waUNDO maana kama wasingefanya madudu yao wasingekua njia panda!Wamewasha redio sasa wasikilize mziki wake!Mwanamke ajiandae kwa talaka na aibu juu..na huyo mwizi mwenzake aliyeepuka talaka ajiandae kushea aibu ya mwenzake na kumsaidia kubeba talaka!FULLSTOP!
Kwa sababu na mke wa huyo mwizi ameridhika sio mbaya akikubali uke wenza pia
Huyo kaka atakasirika sana kwa kujua hata wakwe, shemeji walikuwa wanajua
jambo hilo kwa muda mrefu.
inanikumbusha story ya wazee wa zamani wa uchagani
kulikuwa na tabia ya kuzaa nje ya ndoa mtoto mmoja
ili ikijatokea tambiko au laani mbaya kwa familia kuwepo na
mtoto atakaye kuwa mrithi
labda hao ndugu wa huyo mdada wametumia kigezo hiki cha kale
Kwa sababu na mke wa huyo mwizi ameridhika sio mbaya akikubali uke wenza pia