Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ila we ukiteleza usamehewe?
Lizzy darling....
Mi si mwaminifu, hilo sikatai. Ila kulichomeka libaioloji langu kwenye donati la mtu aliyeolewa? Hapana asee!.... Halafu ni heri basi nilisokomeze kwa bahati mbaya ya kishetani....(Mungu apitishe mbali)..Ndo kuzalisha tena?.........Hiyo pia yaweza kuwa ushetani wa kupitiliza......sasa balaa kubwa zaidi..........eti KUMDAI MTOTO????? .............$%*&^%*$# ZAKE!!
Hayo matusi adhabu yake ni kuuana tu! Aidha aniue au niue!