kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Wandugu nilikuwa safari,nimerudi nyumbani kwangu usiku wa manane nimemkuta mama mkwe kalala na mke wangu chumbani kwangu,na nina nyumba kubwa tuu ya vyumba 4.niwaeleweje hawa watu na nifanyeje kwa hili?
<br />Labda mkeo anaogopa ameamua kuomba kamapani kwa mama yake. Je una watoto wakike?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Waroto 3 wakike 1 na wakiume 2,mimi sielewi
Kwani hapa tatizo liko wapi? Si mama kalala na mwanaye, wewe inakuudhi nini? Mimi nilidhani unalalamika kwamba umemkuta baba mkwe amelala na mkeo, kumbe mama mkwe!Wandugu nilikuwa safari,nimerudi nyumbani kwangu usiku wa manane nimemkuta mama mkwe kalala na mke wangu chumbani kwangu,na nina nyumba kubwa tuu ya vyumba 4.niwaeleweje hawa watu na nifanyeje kwa hili?
Sasa mama mkwe atalalaje kwenye kitanda unachompigia pipe binti yake, wewe wa wapi?...........<br />
<br />
mh!!!!... Huu nao ushauri??!
<br />Sasa mama mkwe atalalaje kwenye kitanda unachompigia pipe binti yake, wewe wa wapi?...........
Walikuwa wanasagana.
Kumbe kivipi? kama baba mtu anaweza kufanya ngono na binti yake wa kumzaa, hapo wewe unashangaa nini?co kihivyo Matola