Hacking iko so wide!! Je unataka kuwa hacker wa websites? Network au softwares?Wakuu
Nataka nijifinze u hacker so nianze na vitu gani ili nielewe ku hack kwa urahisi or program gani lazima nizifahamu kuhusu ili niwe hacker
Dhununi la kujifunza ni kuongeza maarifa tu kichwani mwangu
Download Apk of Kingo Root kwenye simu, kisha install kwa matunzi sasaNdugu zangu mbona mmeshindwa kunisaidia tatizo langu, kila nikimp mtu anakataa kunisaidia
Correction:Lazma uende shule
scripting languages(html, css,javascipt )
C,C++,C#, matlab na kuna vi languge kama jquery, bootstrap ivi ni scripting languages
Lazma uzijue
Habari yako ndugu, unafundosha programing languages?kama utaelewa basi![]()
![]()
![]()
ila kama utahitaji msaada utanicheki private