Bechu
Senior Member
- Jan 7, 2017
- 134
- 72
Kama tittle inavoelezea, naomba anaeijua vizuri south africa kuhusu upatikanaji wa kazi, mishahara yao kwa kazi tofauti tofauti kulingana na kazi, vipi upoje life security yake, kipi kinahitajika ukitaka kwenda kule, kama huna ndugu wala jamaa utafikaje kule na kazi utaipataje? Nimeuliza haya maswali maana naonaga watu wengi wanakimbilia huko! Na mie nataka nijitose huko