Msaada kuzuia namba ya mtu asinipate hewani

Nijuavyo mimi hakuna njia ambayo mtu atakupigia simu asikupate zaidi ya ku switch off au offline mode, zaidi ya hapo njia zote lazima mtu akupate kwa sekunde kadhaa kisha simu ita auto reject hiyo call, tuwaombe Voda, TiGo, Airtell, Zantel na TTCL kama wanaweza sitisha No flani isikupate lakini kwa njia hizi tunazo peana lazima mtu ajue umemkatia simu,,

NB:- Dawa ya deni ni kulipa sio kukimbia.
 
Nijuavyo mimi hakuna njia ambayo mtu atakupigia simu asikupate zaidi ya ku switch off au offline mode, zaidi ya hapo njia zote lazima mtu akupate kwa sekunde kadhaa kisha simu ita auto reject hiyo call, tuwaombe Voda, TiGo, Airtell, Zantel na TTCL kama wanaweza sitisha No flani isikupate lakini kwa njia hizi tunazo peana lazima mtu ajue umemkatia simu,,

NB:- Dawa ya deni ni kulipa sio kukimbia.
exactly sababu nijuavyo mimi android hasuport blacklist wale wanaotengeneza apps wanatumia tu tricks kama hio unayosema simu inaita sekunde tu then inakata.
 
ingia kwenye 'google market' download 'call black list' kisha iweke hiyo namba kwenye hyo application hapo hautoweza kupata simu zake wala sms zake..

Tatizo la Call BLack List mtu akikupigia anaambiwa number iko busy na ukitumiwa text aliyetuma status inaonyesha iko delivered ingawa still unaweza usizione
 
exactly sababu nijuavyo mimi android hasuport blacklist wale wanaotengeneza apps wanatumia tu tricks kama hio unayosema simu inaita sekunde tu then inakata.

kama kitu hujui usi conclude.simu yoyote kuweza kuplay yotube unadownload trasher app then ukii accept to configure then fanya setting kutokana na uitaji wako
 
duh hio youtube imeingiaje kwenye blaclist?

si vyema kwa machifu kulumbana waziwazi,nachotaka kueleza ni kwamba si simu zote zinaweza kuplay yotube so same as si simu zote zinaweza kuconfigure iyo program kwaiyo simu zote zenye uwezo wa kucheza yotube zinaweza apply iyo configuration na kuwa active.ndo maana nikaitwa chief mtemi,sorry usijinyonge lakin
 
si vyema kwa machifu kulumbana waziwazi,nachotaka kueleza ni kwamba si simu zote zinaweza kuplay yotube so same as si simu zote zinaweza kuconfigure iyo program kwaiyo simu zote zenye uwezo wa kucheza yotube zinaweza apply iyo configuration na kuwa active.ndo maana nikaitwa chief mtemi,sorry usijinyonge lakin

nipo jukwaa hili sababu technology hua haidanganyi any proof ya blacklist au software yoyote ile inayofanya kazi?
 
Nipeni maujanja kwenye black berry 9700 ma-chief maana kuna mtu ananisumbua sana!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
si vyema kwa machifu kulumbana waziwazi,nachotaka kueleza ni kwamba si simu zote zinaweza kuplay yotube so same as si simu zote zinaweza kuconfigure iyo program kwaiyo simu zote zenye uwezo wa kucheza yotube zinaweza apply iyo configuration na kuwa active.ndo maana nikaitwa chief mtemi,sorry usijinyonge lakin

Mkuu unatakiwa kujua namna hii kitu inavyo fanya kazi, nikwamba mtu atakapo kupigia simu instantly ikitakbua kua namba iliyo zuiliwa inapiga ndio ina reject hiyo call, pia tambua anaye kupigia simu ataanza sikia simu inaita then ikakatwa,
hizo configuration unazo ziongelea hapa kwa manufaa ya uma naomba utuelekeza tu thibitishe na hii ndio Science & Technology
 
nipo jukwaa hili sababu technology hua haidanganyi any proof ya blacklist au software yoyote ile inayofanya kazi?

Hii kitu nadhani itawezekana kama mtandao uutumiao wataamuli kabla simu yako haijaunganishwa na yule ulie mblock waikate juu kwa juu ila kwa hizi apps ni fix tupu, tena ki simu kinaita kama sekunde kadhaa kusha mpigaji anaona kabisa umemkatia.
 
Ndugu waheshimiwa, naomba procedure za phone setting ili kama ninahitaji privacy wa kutopokea simu ya mtu.
Binafsi sipendi kundangaya ila nahitaji akinipigia akute sipo hewani.
Natumia Android TECNO
I SUBMIT

That is almost impossible! Ukitumia Call divert, itaahtiri simu zote zitakazo pigwa kuja kwako. Ukitumia Call Barring itazuia simu zote, badala ya moja. Na kama lengo ni zote bas call barring ndio jawabu lako. Piga *35*0000# kuzuria simu na sms; piga #35 *0000# kuondoa zuio. Kumbuka "0000" ni PIN2, kama hujawahi kubadili PIN2, toka ununue line yako, bas 0000 ndio PIN2 sahihi.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kuna software unaweza kuzi download kwenye simu yako kama Call Blocker {x - Adv 4.0},Hii ni nzuri una block no.ya mtu ambayo hutaki akupate pia ina uwezo wa kublock all unknown Calls ambazo hazipo kwenye Phone Book yako kama una wasiwasi atakupigia kwa No.nyingine,pia ina option ya kuceive sms zake ama uziblock na zenyewe tofauti na Blacklist ambayo uki block No.yake ana uwezo wa kukutumia sms zake zikakufikia kwa hiyo atajua umemfanyia uhuni,,Pia kuna option either kama unataka kujua alijaribu kukupigia muda gani utaona,,Ni software nzuri kwa sababu simu inakuwa haipatikani kabisa na sio kuita kidogo na autoreject kama Blacklist.
 
Auto reject atajua unamkatia, we add to blacklist number akikupigia anakuta simu ipo busy
 
Ishu ni moja tu... ukitumia autoreject anayekupigia anaambiwa simu iko busy muda wote... sasa hapo ndo utata... mtu anaweza dhania nitatizo la mtanda mara ya kwanza, ila inapozidi lazima tu anajua kuwa kuna manuva umefanya.
 
Mimi natumia Blackberry 9700 nataka watu wawili wasinipate kabisa,nifanyeje wakuu?Maana wasumbufu sana!!Ahsanteni

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Blackberry call barrier ipo ila ni all calls utablock either international calls au local
 
Tumia hiii hutojuta *21*0027# kuondoa weka ##21# hapo wewe hawawezi kukupata hewani ila mpaka wewe uwapigie
 
Back
Top Bottom