Msaada kuupgrade android os

Msaada kuupgrade android os

Na mm yangu note 3 n 900 ina android ya 5 bado
 
Zima simu kisha bonyeza batan ya kupunguza saut usiachie kisha home batan nayo usiachie alaf power batan..wait simu itawaka utaona robot ya kijan ya android kisha press volume ul button kuendelea kweny download mode sasa hapo utaona model ya simu yako .
Ni sm g900p mkuu
 
Mie ninayo HTC one max ya Verizon (lvw 6600) haiuldate kwenda version za juu ipo V4.4
 
Zima simu kisha bonyeza batan ya kupunguza saut usiachie kisha home batan nayo usiachie alaf power batan..wait simu itawaka utaona robot ya kijan ya android kisha press volume ul button kuendelea kweny download mode sasa hapo utaona model ya simu yako .
Mkuu huawei Y360 U82(Y3) kwanini inaandika internal storage full wakati nimedownload mafile machache sana na nyimbo 4 tu tena zenye mb chache.Msaada please nini tatizo?
 
Mkuu huawei Y360 U82(Y3) kwanini inaandika internal storage full wakati nimedownload mafile machache sana na nyimbo 4 tu tena zenye mb chache.Msaada please nini tatizo?
Internal memory yako ni ndogo ..weka memory card na uchague sd card as default memory
 
4.4.2 OTA inakubari ukiwa japan na unatumia mtandao wa docomo tu
Okey...sasa kwanini usitumie vpn una connect japan kisha ukafanya ota update..ikigoma basi ngoja nikuchekie firmware uflash manually
 
Okey...sasa kwanini usitumie vpn una connect japan kisha ukafanya ota update..ikigoma basi ngoja nikuchekie firmware uflash manually
Poa mkuu lakin hata nikionekana niko japan lazima nitumie lain ya docomo
 
Simu ina version gani kwa sasa
Kuna kitu kingine mkuu kwenye download mode imeandikwa sm g900p kwenye setting ya simu imeandikwa sm g900f hili haliwezi kua tatizo
 
Back
Top Bottom