Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Dah! Pole sana dada, hujajaribu kwenda kufanya baadhi ya vipimo walivyokushauri wadau humu?Bado, yani hata hapa kinaniuma basi tu naingia huku ili muda uende
Dah! Pole sana dada, hujajaribu kwenda kufanya baadhi ya vipimo walivyokushauri wadau humu?Bado, yani hata hapa kinaniuma basi tu naingia huku ili muda uende
Pole kwa hayo maradhi yako ya kuumwa na kichwa kwanza jichunguze je unakunywa maji ya kutosha? kapime macho yako, je unayo Stress za maisha?naje unapata usingizi w akutosha? kw ausiku huw aunalala masaa mangapi? kisha jaribu dawa yangu hii hapa chini kula punje 12 za Lozi aka Almond kila siku kichwa kitapona.Kisipo pona nitafutye labda utakuwa una pepo mchafu aka Shetani mbaya ndio anaye kusmbuwa kichwani pako.Ukihitaji matibabu toka kwanguGood morning jf....
Mi nasumbuliwa sana na kichwa, ni muda mrefu sasa kinaniuma, yani siku ninazo kaa bila kuumwa zinahesabika, hospital nishaenda nikipima sina shida yoyote, pain killers nishakunywa sana naona nmechoka sahivi kikiuma nalala tu.
Kuna siku naamka usingizini kichwa kinaniuma, nikikaa sehemu yenye hewa ndogo naumwa kichwa,nikihisi njaa kinauma, nikitembea juani naumwa, naweza kuwa na shida gani? Tiba yake ni nini?