Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Jamani mi nasumbuliwa na kichwa kinauma sana tena frequently kinaweza kuacha kwa mud a tu, shida iko hivi nikitembea juani kwa dakika 25 nitaumwa kichwa sana,pili nikiwasha computer hasa kama chumba kinagiza kwa dakika 45 tayari kichwa kinachemka,misuli inasimama kinauma mbaya.
Na pia unaweza kujikuta pua kama haivuti hewa ya kutosha yaani mfano ninapolala chali pua inakuwa kama imeziba, so naanza kupumua kama kwa shida hali hyo pia hunifanya kichwa kuuma sana.
Tiba nilizojaribu so far nilienda CCBRT wakanipa miwani yakupunguza miale ya jua transition, lakini shida iko pale pale, kuhusu pua kama kuziba huwa nikipigà chafya napatà nafuu kwani naona mfumo wa upumuaji unaachia na kichwaà kinapoa,au nameza panadol pain killer na kutafuna PK.
Nahitaji ushauri wenu.
Na pia unaweza kujikuta pua kama haivuti hewa ya kutosha yaani mfano ninapolala chali pua inakuwa kama imeziba, so naanza kupumua kama kwa shida hali hyo pia hunifanya kichwa kuuma sana.
Tiba nilizojaribu so far nilienda CCBRT wakanipa miwani yakupunguza miale ya jua transition, lakini shida iko pale pale, kuhusu pua kama kuziba huwa nikipigà chafya napatà nafuu kwani naona mfumo wa upumuaji unaachia na kichwaà kinapoa,au nameza panadol pain killer na kutafuna PK.
Nahitaji ushauri wenu.