Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 3,035
- 6,901
Wakuu naombeni kujua jinsi gani naweza pata makala za kitambo nimejikuta nawamisi akina lodi lofa mapungo pimbi baba ubaya na wengine wengi nimejaribu google sipati mzigo kamili
daa enzi zile tulikuwa tunafaidi sana makala zao sijui saiz zinapatikanaje
mkuu huyu mwamba alikuwa fundi sana iv hakuna makala zilizoko pdf tuzitafute alikuwa ananikosha sana mazoez ya Bush star nizaid ya Tpdf kukwepa mishare kupikwa kweny chungu 😂😂😂Daa aisee ivi hawa watunzi wa ili gazeti walienda wapi. Mana nilisikia wanataka kurudi lakini hadi leo hola
Comrade kipepe
Mapung'o
Chepe
Sokomoko
Zena
Betina
Pimbi anavyopenda mademu. Harakati za Pimbi.
Ili gazeti lilikuwa tamu sana.
Na uchoraji hodari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nimekumbuka mbali, nilikuwa napenda kuyasoma nilikuwa namuibia dadaangu naenda nayo shuleni, [emoji2]Wakuu naombeni kujua jinsi gani naweza pata makala za kitambo nimejikuta nawamisi akina lodi lofa mapungo pimbi baba ubaya na wengine wengi nimejaribu google sipati mzigo kamiliView attachment 1322883View attachment 1322884View attachment 1322885View attachment 1322886
yaaap mkuu iv hakuna namna ya kupata izo makala kwelUkiweka Sani bila Bongo habari inakua haijakamilika. Maana haya ndio ilikua kama Kiu na Ijumaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana muhenga Kuna rafk angu nilikuwa naongea nae akanikumbusha team ya bush star 😂😂😂daa way back on the days tulikuwa tunainjoy sana aya ma vituJamani nimekumbuka mbali, nilikuwa napenda kuyasoma nilikuwa namuibia dadaangu naenda nayo shuleni, [emoji2]
Kuna lingine lilikuwa linaitwa bongo sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Me siyo muhenga lakini, [emoji12][emoji2].. kweli buana vya kale dhahabuSafi sana muhenga Kuna rafk angu nilikuwa naongea nae akanikumbusha team ya bush star [emoji23][emoji23][emoji23]daa way back on the day tulikuwa tunainjoy sana aya ma vitu
😂😂😂Me siyo muhenga lakini, [emoji12][emoji2].. kweli buana vya kale dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika mkuuyaaap mkuu iv hakuna namna ya kupata izo makala kwel
Asante mkuu 🙏nenda Maktaba Kuu ya Taifa pale, unayapata yote ayo
ile floor ya kwanza ndio yapo, achana na ground floor, ila Lodi Lofa fala sanaAsante mkuu 🙏
daaa kitambo sanaaaa ngoja nikipata muda nikachek mzigo na hamu na timu yangu pendwa ya bush star chini ya injinia captain wa kikosi mapong'oile floor ya kwanza ndio yapo, achana na ground floor, ila Lodi Lofa fala sana