Mfuatiliaji, kupanga kitabu kilichowekwa kwenye PDF format siyo rahisi. Nakusahuri usome kurasa moja tu kwa siku kuchoka kutapungua (yaani usifunge chote "staple" kitakuchosha) Pia unawza kuruka vielelezo (tables) mpaka raundi ya pili. Nakutakia siku njema!
ndivyo kilivyo tayarishwaila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio ndio nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
ndivyo kilivyo tayarishwa ila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio mzuri wa kusoma ndio mana nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
ishu ni kwanba kuna vyitu unatakiwa uvifanya katika kipindi fulani na jinsi kilivyo hakijaenda kwa series ndio mana nimeomba msaada kupangiwa kwa wataalam au kama kuna mtu alikuwa na hard copy nirahisi kukipanga .mfano unachukua page ya kwanza unacopy na kupest kwenye ms word mpaka page ya mwisho then unanitumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.