water drilling service
Member
- Mar 22, 2018
- 18
- 8
Mkuu kesi kama hizi ni nyingi sana watu wamekua hawana uaminifu katika kazi wanaharibia hadi wanao fanya kazi zao kwa uaminifu usimamizi katika hili ni lazima
Walichimbia stiki za Mita 2 nilizihesabu 30, wakati wanachimbia nilikua Kibiti Mjini lakini niliporudi shamba nilihesabu pipes zilizobaki. Sawa ntazipima nikienda, ntatafuta tape measure ndefu.Mkuu kama haukuwepo pengine hakikufika mita ulizotaka ilitakiwa uwepo ujue bomba ngapi zimeingia kila bomba 1 ina mita 3 au jaribu kutafuta kitu ambacho unaweza kupima ili ujue kama kwel walitimiza hizo mita 60
Huwezi toa casing hizo maana huwa wanazifanyia cementing nadhani, pia usifanye vitu vya gharama kubwa bila research mfano unanunua gari ya milion 700 huweki bima.Wakuu kwema??
Ninalo shamba mahali ambako nilipanga nichimbe kisima kirefu kwa ajili ya Kuweka Drip Irrigations System ambako ningekitumia hicho Kisima. Sasa kuna Rafiki yangu mmoja yuko kama kilometer 1 hivi kutoka hapo kwangu alinitangulia kuchimba kisima chake kama miezi 6 hivi kabla yangu, Ye alichimba kwake na aliishia Mita 60 akawa anapata maji safi tu muda wote na hayakatiki.
Mimi kuja kuchimba changu sikufanya survey bali nilimwambia mchimbaji achimbe tu hizo hizo 60 kama za jamaa tuone, na tukapata maji kweli masafi na mengi tu tukaamua kuishia hapo na kuchimbia/kudumbukiza Bomba za Plastic (PVC).
Sasa shida imekuja, kumaliza wiki tu maji yamekata hakuna maji tena. Nimewaza nizichomoe zile Bomba ili niendelee kuchimba zaidi pengine mpaka mita 80 au hata 100. Wale walionichimbia mwanzo wamenishauri niingie tu Gharama kuchimba upya kingine kirefu zaidi kwani haiwezekani tena kuchomoa zile Bomba.
Sasa hapa naomba ushauri tu kwa wazoefu wa haya mambo, je ni kweli haiwezekani kuchomoa bomba? Au Altenatively naweza kufanya nini hapa? Karibuni
Kweli mkuu ushauri wangu jipange uchimbe kingine chimba hata 80 au 100 na kama unataka kwaajil ya kumwagilia yani maji mengi ueke PVC ya inch 5 au 6 utapa maji mengi sanaWalichimbia stiki za Mita 2 nilizihesabu 30, wakati wanachimbia nilikua Kibiti Mjini lakini niliporudi shamba nilihesabu pipes zilizobaki. Sawa ntazipima nikienda, ntatafuta tape measure ndefu.
By the way hata nikigundua haikufika 60 sijui kama itasaidia. Manake haya mambo bana mnalipana tu na kazi inafanyika, hakuna any binded written contract.
zingatia ushauri huu mkuu...mkuu hili liliwahi nitokea kama wewe yaani exactly kama wewe. na kuanzia hapo nilijifunza kitu kaka. Fanya survey kisha chimba kingine na weka cassing upya. Mind you hapo unapokomaa yawezekana hakuna maji kabisaa. so utajiongezea gharama zisizo na tija. wewe hapo cha kufanya ni kuanza upya, pia usiogope gharama hutokuja kufanya jambo zuri na la kudumu. watafte PDPR Njombe Hawa wanafanya kazi vizuri mnoo (Japo wanaringa balaa) ila mnaweza kuongea na wakakufanyia hata kwa mkopo wa miez 4 usio na riba kama utaweza lipa 50% ya gharama nzima
Nakushauri ufanye Survey kuepuka hasara zaidi! Maji chini ya ardhi hayafuati kila mara mkondo wa moja kwa moja, inawezekana ulichimba hapo kwa kuwa jirani alipata maji lakini ukumbuke mkondo wa maji waweza kupotea hata kama visima vyako vingepangana ndani ya mita moja.Hapa Pia Mkuu nawania kuokoa kuchimba mita zingine 80 mpya, so Bomba zikitoka zote hata kama zitatoka zimepasuka mradi kwenye kuchimba nitachimba mita 20 au 30 tu kama nikiendeleza shimo lile lile
mzeee kuna mahali uliwasifia PDPR kuwa wanafanya kazi vizuri japo ulikiri wanaringa balaa, lkn mbona hapa umesema ni matapeli?Mkuu hao PDPR ni matapeli mnoo mnoo mnooo.......
Mkuu hao PDPR ni matapeli mnoo mnoo mnooo.......
mzeee kuna mahali uliwasifia PDPR kuwa wanafanya kazi vizuri japo ulikiri wanaringa balaa, lkn mbona hapa umesema ni matapeli?
aksante kwa kunitonyaHawakamilishi kazi na wana ujanja ujanja fulani hivi nilikuja kugunda walinipiga kisima kimoja Morogoro.