MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Nadhani tuache kudanganyana hapa; kama fedha umezipata kwa halali na unataka kuzitumia kwa uhalali unaweza kuzihamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine bila tatizo. Unachotakiwa kufanya ni ku prove kwamba umezipata kwa halali na utazitumia kwa uhalali.