Dah ni balaa kwa kweliHili Janga liiliwahi nitokea na nililipoti hapa JF,
kwangu mm issue ilikuwa mdogo mtu(kike) anataka niachane na dada ake,
so alikuwa anapata each and everything ninavyo fanya kwa sim,yaaini mail,whatsapp,viber,yahoo na msg plus voice..
Kuna siku nilibadili pass ya Gmail baada ya kushauriwa na wana JF,nilivyo badili to Pass alinitumia sms ilisema hivi(hahhahahaha umebadili pass,chezea it ww),nilitamani nimuuwe.
alikuwa nafanyaye?
Kwanza alikuwa anashirikiana na jamaa wa usalama ambaye alikuwa ubakozi wa Misri Tz
Huyo jamaa anakifaa mfano wa sim,kimetengenezwa japani, lengo la hicho kifaa ni for security issues,maani kinaweza kusensi kama mtu anasilaa akiwa umbali flani,pia kwa ajili ya upelelezi,hicho kifaa ukimpa namba ya mtu yeyote kina vuta inf zote kwa hiyo sim pamoja contact zote sms calender issue nk,hata uwe na sim ya kitochi,
Baada yakuwa na inf zako zote kinakuwa kinasave each and every thing unacho fanya kwa sim,pia sim yako inakuwa ipo kiganjani kwake anweza mcall mtu yeyote amtakae,hata amtukane itaonekan ni ww ndio umefanya hivyo.
Nilijuaje?
Nilihangaika sana na apps za kwa mitandao, hata kuna apps unalipia kama laki 250,kwa mwezi niliitumia,
Hi apps nimeisahau jina ila naweza kukutafutia,ina act kama untvirus,inakutell how inf zako zinavyo populated..
basi tangia hapo jamaa akajua kuwa kunasomething wrong.so nahisi kwa heshima ya kazi yake akaachana na namba zangu.
Akanipa na mbinu kuwa nikitaka nikikomeshi hicho kishem changu ninunue HUWEI P8,hii sim ni baala,
Yule jamaa na shem wangu now nimarafiki sana tu..
So mkuu kama anatumia mbinu hii ww nenda kanunue huawei.
Haiwezekani ikawa ndiyo hiyo maana whatsapp ni end to end encryption ndiyo inatumika, hivyo bila ku install application kwenye simu ya rubii asingeweza kuhack na kusoma sms zake maana sms zinasomeka pale tu zinapofika kwenye simu ya mhusika zikiwa ziko hewani zinakuwa encrypted ukinasa ni kama matakataka yasiyoeleweka.Mkuu umeelezea vizuri sana. Niongeze tu kuwa kuna apps zingine za kuspay si lazima ziwe installed kwenye sim ya muhusika isipokuwa unapozikofigure basi unazikofigure na number za mtu unaetaka kumspay. Kwa apps ya namuna hii ili usiweze kuwa spayed kwenye watsap basi badilisha number ya watsap kwenye watsap setting yako.
Simfahamu na anajua mambo
Simfahamu na anajua details zangu zote mpaka current chats zangu nawatu wengine
ingia ktk app manager angalia application zilizopo ukiona usiyoielewa(inayohusu spy) uninstall hiyo, hakuna haja ya kureset
Ambao hawataji aina ya simu hakuna haja ya kuwasaidia potezea tumechoka kuwa uliza waoRubii
UNATUMIA AINA GANI YA SIMU?
Nipe detailz za aina ya sim unayotumia
rubii hiyo mobile tracker ndo inayokuspy wewe!..Huyo mtu aliipata simu yako mkononi akainstall hiyo application then akailink na e-mail address yake so kila kitu cha simu yako kinaenda kwenye hiyo simu ake na ukitaka asivipate usiwe na bundle ama zima data cause vinategemea data kutuma kwenye e-mail yake!..
Hata me nimefanya kwenye simu yangu ni kwamba inanisaidia sometime hua napoteza sana simu ama sahau so itanisaidia futa ama jua ilipo simu!..
Nimesahau jinsi ya kuiunstall but jaribu google MOBILE FREE TRACKER how to unstall it..
Kama kairoot simu yake vyote vinawezekana!..inawezekana mwenye simu hajui lakini huyo aliechukua hiyo simu ameiroot!..Mkuu weka MOBILE TRACKER weka
FIND MY PHONE weka LOCATION TRACKER yote hio kamwe haita track wala hata kuona mssgs za whatsap Mkuu,
Huyo jamaa kamchezea kitoto saaana huyo alichokifanya ktk sim yake(rubii)
Ni amehack vitu viwili hapo ktk hio hio sim ya huyo rubii
Ni mtu wakaribu ndo kafanya hivyo
Hadi kuichkua hio sim akafanya mamboz kisha akairejesha ka alivoichkua hio sehem alipoikuta,
NDOMAANA NKAMUULIZA HUYO MLALAMIKAJI ANATUMIA AINA GANI YA SIMU??
TATIZO NAE KIMYA HUENDA KAITUPIA SIM NDANI YA NDOO YA MAJI NDOMAANA YUPO KIMYA[emoji3]
Kama kairoot simu yake vyote vinawezekana!..inawezekana mwenye simu hajui lakini huyo aliechukua hiyo simu ameiroot!..
Rubii kama ni mumeo tumia nafasi hio kumuonyesha kwamba wewe ni mwaminifu kwenye ndoa. Nunua kisimu kidogo hamishia michepuko yote huko. Alafu huko alikokuhack kila siku kua unampigia mama ake mzazi [emoji23][emoji23]Habari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ulivyo mrembo watakuteka. Yaweza kuwa unasumbua sehemu katika ridhiki za watu aidha siasa, au unabeba mume Wa MTU hivyo wanaanza kufuatilia nyendo zako. Badili simu na laini kabisa.
Kubadili laini pekee haitakusaidia maana serial number ya simu wanayo. Take care. cc@rubii
kama bado hujasolve hili tatzo labda nijarb kuelezea experience yang abt mobile tracker kuna thread 1 hv nilielekeza namna ya ku2mia mobile tracker na namna inavyofanya kazi na kibaya zaidi mobile tracker inaweza kuchukua data za whatsapp kwa rooted device na data nyngne kama call, sms, photos, location and others kwa non rooted deviceHabari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.
hvyo basi kama ni mobile tracker alichofanya ni hikiHabari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.