MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,605
Hbr wakuu
Naomba kufahamishwa kama Kuna katazo lolote au kibali chochote kumiliki hii mashine kama tool katika farmkit. Kuna shamba kubwa nahitaji kusafisha lote na kwa haraka huu mtambo naona ndio utarahisisha hilo zoezi.
Nimesikia zinazuiwa, mara zinakamatwa baadhi ya maeneo.... Msaada mwenye kujua ukweli juu ya hilo.
Naomba kufahamishwa kama Kuna katazo lolote au kibali chochote kumiliki hii mashine kama tool katika farmkit. Kuna shamba kubwa nahitaji kusafisha lote na kwa haraka huu mtambo naona ndio utarahisisha hilo zoezi.
Nimesikia zinazuiwa, mara zinakamatwa baadhi ya maeneo.... Msaada mwenye kujua ukweli juu ya hilo.