Msaada kulea mtoto mchanga asie na Mama

Msaada kulea mtoto mchanga asie na Mama

Pole kwa changamoto ya huyo mtoto ni mdogo kwa kweli.

Ushauri kama una uwezo mnunulie SMA bado huyo ni wa stage 1. kidogo yana bei sana nadhan 1tin ni 60,000/= km sio tafuta mengine yapo mengi sana ila the best one ni SMA ni product ya UK....

Maziwa ya ng'ombe pia mimi sikushauri unless unamjua mkamuaji mengi sio angalo subiri hata afikishe mwaka..

Last kila la heri Mungu ni mwema atakuwa kwa haraka ajabu
 
Pole sana kwa Mtoto.

Mimi ni mmoja pia wa waliofiwa na mama siku ya kwanza tu baada ya kuzaliwa. Nililishwa maziwa ya dada yangu wa tumbo moja, alikuwa na miezi mitatu tu tangu ajifungue. Ikabidi amsimamishe mwanaye, aninyweshe mimi. Ila kuna wakati pia ilibidi tunyonye wote na mtoto wake. And am strong enough.

Ushauri wangu, tafuteni mama aliyejifungua. Ongeeni nae, amsaidie mtoto.

Mambo ya maziwa ya ng'ombe na Ya kopo sishauri kabisa. At least afikie miezi 6.
 
Back
Top Bottom