thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Mwenye kujua huu ugonjwa naomba msaada nimpatie tiba kuku wangu
Nimeshamchinja mkuuAcha ujinga wewe chinja huyo kuku kabla hajafa
Yupo pekee yake...ingawa mdondo umewashambulia sana kuku wangu ndo napambana na madawa na kuwachinja wale wanaonesha daliliIko kama infectious corayser. Ni aina ya mafua makali yanashambulia mfumo wa upumuaji, koo, na macho. Mpe chakula kizuri na vitamin. Kama wako wengi tafuta dawa
safi sanaNimeshamchinja mkuu
jamaa Anaomba dawa, sema hayo maagizo uliyompa si atamaliza mtaji wote ?wewe chinja huyo kuku kabla hajafa
Siku nyingine bandua hiyo ngozi iliyo kauka hapo paka mafuta ya mgando,hiyo inaweza kuwa ni fowlpox au infectious coryza tumia broad spectrum antibiotics!au muone mtaalamu wa mifugo aliye karibu yakoYupo pekee yake...ingawa mdondo umewashambulia sana kuku wangu ndo napambana na madawa na kuwachinja wale wanaonesha dalili
Mafua makali hayo tumia dawa ya TaylodoxMwenye kujua huu ugonjwa naomba msaada nimpatie tiba kuku wanguView attachment 1693533View attachment 1693534View attachment 1693535
Mkuu hii inaweza kufaa? Ninayo hapaMafua makali hayo tumia dawa ya Taylodox
Hapana hii ni sulfa kwa akili ya magonjwa ya tumboMkuu hii inaweza kufaa? Ninayo hapaView attachment 1696489
Sawa mkuu....ngoja nianze kuzingatia chanjo iseeHuo ugonjwa hapo juu ni ndui hukumchanja huyo kuku chanjo ya ndui
Mkuu siku ingine uliza wataalam kabla ya kuchinja. Kuna magonjwa mengine ya mifugo ukila kuku na wewe unapata madhara.Nimeshamchinja mkuu
Sawa mkuuMkuu siku ingine uliza wataalam kabla ya kuchinja. Kuna magonjwa mengine ya mifugo ukila kuku na wewe unapata madhara.
Chonde usituletee Covid-21..
Mkuu tafuta mtaalamu wa mifugo akuelekeze kuhusu chanjo za kuku wako,vinginevyo utapata hasara sana kununua madawa yasiyo weza kutibu tatizoMkuu hii inaweza kufaa? Ninayo hapaView attachment 1696489