Msaada kuhusu utaratibu wa kufunga ndoa ya kiserikali

The Conscious

JF-Expert Member
Mar 18, 2021
460
701
Wakuu habari za majukumu.

Tafadhali kwa anayefahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya Kiserikali naomba anieleweshe

Gharama zake zipoje na ni vitu gani vinahitajika ili niweze kufanikisha

Ninachohitaji zaidi ni cheti cha ndoa kama kuna member anafahamu utaratibu mwingine wa kupata cheti cha ndoa nje ya utaratibu wa kidini tafadhali naomba anisaidie kunielewesha
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
Sawa mkuu nashkur sana kwa maelekezo ndoa za kidin zina mambo mengi sana alaf zinahitaj maandaliz ni bora nifanye ivyo mkuu chap napata chet
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.

Safi sanaaa
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
Apo mwenye kubandika tena ndiyo tatizo
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
Nyongeza,aende na wasimamizi me na ke ambao ni wanandoa kama mashahidi,kama pia wana pete wazibebe ingawaje sio lazima,kuwa na ndoa inayotambulika ni raha sana,kila la kheri kwake huyo jomba
 
Me pia nahitaji hio mkuu maana hizi ishu za Pi Pi Pi Pipi ya kijiti wengine hatuna uwezo navyo na tunahitaji kufunga ndoa.
 
Wakuu habari za majukumu.

Tafadhali kwa anayefahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya Kiserikali naomba anieleweshe

Gharama zake zipoje na ni vitu gani vinahitajika ili niweze kufanikisha

Ninachohitaji zaidi ni cheti cha ndoa kama kuna member anafahamu utaratibu mwingine wa kupata cheti cha ndoa nje ya utaratibu wa kidini tafadhali naomba anisaidie kunielewesha
Nenda ofisi ya mkuu wa wilaya ulipo ,unajaza form na huyo mkeo mtarajiwa na mashahidi wa pande mbili,yaani shahidi wako wa kiume na shahidi wa mchumba wako,itabandikwa kwenye tangazo la mkuu wa wilaya ndani ya siku ishirini na moja kama kunapingamizi,.Baada ya hizo siku kupita mnaenda kuapa ,tayari ndoa,gharama nadhani ni elfu kumi{10,000}
 
Yani mkuu lengo lako ni kupata cheti tu na siyo maisha ya raha na karaha na huyo mpendwa wako.Hiyo ndoa naona itadumu kwa muda mfupi sana.
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
Jumui ndigo ndogo😂😂
 
Chukua barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, wewe na mwenzako nenda kwa mkuu wa wilaya ukiwa na kitambulisho, mtaulizwa maswali kidogo, sio ya kidini, utalipa 50000, utasubiri tangazo libandikwe kwa wiki tatu, kisha mnapewa tarehe ya ndoa. Hakuna longolongo eti umelipa zaka, au mambo ya jumuiya ndogondogo.
Vitambulisho vya NIDA au?
 
Yani mkuu lengo lako ni kupata cheti tu na siyo maisha ya raha na karaha na huyo mpendwa wako.Hiyo ndoa naona itadumu kwa muda mfupi sana.
Hahah mkuu cheti cha ndoa ni muhim sana nmeona kitanisave kwenye ishu flan
Lakin muhim zaid ni kuw nahitaj kumsaidia huy manz ang nimtafutie bima ya afya maan naon kuna gharam naingia kumsaidia anapougua wakat nawez fany vitu kwa gharama kidogo na nikasave pakubw
 
Hahah mkuu cheti cha ndoa ni muhim sana nmeona kitanisave kwenye ishu flan
Lakin muhim zaid ni kuw nahitaj kumsaidia huy manz ang nimtafutie bima ya afya maan naon kuna gharam naingia kumsaidia anapougua wakat nawez fany vitu kwa gharama kidogo na nikasave pakubw
habari mkuu, Hope mnaendelea vizuri, suala lako la kutaka kufunga ndoa ya kiserekali ulikamilishaga, mm pia nahitaji kufanya hvo kwa ajili ya kumkatia mke bima ase. Nlikuwa naomba Muongozo
 
Back
Top Bottom