Msaada kuhusu UDOM _applicatin 2018/19

Msaada kuhusu UDOM _applicatin 2018/19

jov

Senior Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
121
Reaction score
9
Wadau Naombeni masaada napitia chamgamoto katika kufanya maombi ya kujiunga na mwaka Wa masomo 2018/19 nimefungua account vizuri hadi nikalipa pesa ya maombiTsh 10,000/_ kupitia vodacom na nikajuzwa malipo kupokelewa ,Sasa shida ni kwamba zile stages zote zinazofuata hazifunguki ,Ila ya mwisho tu ya preview iko active ,zingine zote ziko inactive,hivyo nashindwa kuendelea na maombi,Msaada tafadhari kwa mwenye kujua/kakutana na case kama hiyo.
 

Attachments

  • IMG_20180803_212520.jpg
    IMG_20180803_212520.jpg
    41.4 KB · Views: 78
Ukitumia PC utaenjoy zaid, nadhani sim inazidiwa uwezo(sina hakika) ila kama hauna access ya kuapply kwa kutumia PC no way out just proceed
 
Wasiliana na upande was IT support... Watakutatulia tatizo lako
 
Lipia kwa Crdb. Kuna tatizo kwenye mfumo wa malipo kupitia mitandao ya simu.

Nilijibiwa hivyo na IT person nilipowauliza. CRDB haisumbui kabisa
 
Ukitumia PC utaenjoy zaid, nadhani sim inazidiwa uwezo(sina hakika) ila kama hauna access ya kuapply kwa kutumia PC no way out just proceed
NAtumia PC sema nimetumia tu simu kuposti hapa jukwaani
 
Lipia kwa Crdb. Kuna tatizo kwenye mfumo wa malipo kupitia mitandao ya simu.

Nilijibiwa hivyo na IT person nilipowauliza. CRDB haisumbui kabisa
Hii inaweza kuwa sababu labda ,ngoja J3 ntawatafuta,
 
Hii inaweza kuwa sababu labda ,ngoja J3 ntawatafuta,
Hiyo sababu haina uzito wowote,ingekua hiyo ndo sababu ata was ingekua n yes na kwa malipo yamepolewa,jaribu internet yenyewe kasi na browser pia jaribu kubadil badili
 
Wadau Naombeni masaada napitia chamgamoto katika kufanya maombi ya kujiunga na mwaka Wa masomo 2018/19 nimefungua account vizuri hadi nikalipa pesa ya maombiTsh 10,000/_ kupitia vodacom na nikajuzwa malipo kupokelewa ,Sasa shida ni kwamba zile stages zote zinazofuata hazifunguki ,Ila ya mwisho tu ya preview iko active ,zingine zote ziko inactive,hivyo nashindwa kuendelea na maombi,Msaada tafadhari kwa mwenye kujua/kakutana na case kama hiyo.
Malipo yako yatakua bado hayajathibitishwa bado yakishathibitishwa tuu zitakua active
 
Hapo hapo wadau,kuna kipengele cha Attachments,Aliyesoma TZ form 4&6 na matokeo ameya_upload kwenye huo mfumo attachments zinamuhusu?huwa siwaelewi hapo,msaada pls...
 
System yao inazingua hao, tena ukolog out ukiingia tena unaambiwa umekosea username or password
 
Hapo hapo wadau,kuna kipengele cha Attachments,Aliyesoma TZ form 4&6 na matokeo ameya_upload kwenye huo mfumo attachments zinamuhusu?huwa siwaelewi hapo,msaada pls...
Hakuna attachment but ni kuweka namba zako za mitihani tu.
 
Back
Top Bottom