Mimi yangu natumia dish. Nimeunga direct waya toka nje hadi kwenye tundu la LNb. Napata local channel.Asante mkuu kwa maelezo mazuri..
Yangu imeandikwa DVB-T/T2 then naona ina sehemu ya kadi na matundu mawili ya LNb na Antena...
Samahan tena hizo Antena za Startimea zinauzwa peke yake? Na ni bei gani?
Shukran sana.. naona bora niunganishe dish maana ninalo tayari la ziada.. je unapata local channels zote? Je ni uelekeo upi umeweka, au niongee na fundi atajua namna ya kufanya?Mimi yangu natumia dish. Nimeunga direct waya toka nje hadi kwenye tundu la LNb. Napata local channel.
Antena unaweza nunua startimes au dukani tu. Zile miba ya samaki.
Local napata itv, capital, eatv na ile ya msumbiji na radio zake. Fundi aliniambia kuna uelekeo naweza pata channel ten, ten plus, clouds, tv e, tbc, startv. Nikachagua huo wa kwanza.Shukran sana.. naona bora niunganishe dish maana ninalo tayari la ziada.. je unapata local channels zote? Je ni uelekeo upi umeweka, au niongee na fundi atajua namna ya kufanya?
Asante sana..Local napata itv, capital, eatv na ile ya msumbiji na radio zake. Fundi aliniambia kuna uelekeo naweza pata channel ten, ten plus, clouds, tv e, tbc, startv. Nikachagua huo wa kwanza.
Pia unaweza ongeza LNb ndogo kwa ajili ya channel kibao za nje.
Fananua vizuri hapa plz.. ni kwa TV tu au na mie mwenye FTA receiver yenye sehemu ya kadi naweza nunua kadi na kupata hizo channel zao..??Ok. Ni kweli ving'amuzi vya ndani vipo na vinafanya kazi. Vipo vya aina mbili, DVB T2 na DVB S2.
Pia, DVB S2 zinaruhusu kutumia huduma za startimes na Azam kwa kununua kadi tu.
Kifupi kokote kwenye Startimes, Continental ama Azam ya Antenna dvb t2 utashika, ila Hao jamaa hawaachii chanell zote.
Hilo sina hakika nalo mkuu. Jaribu kuwacheki kwa ufafanuzi zaidi.Fananua vizuri hapa plz.. ni kwa TV tu au na mie mwenye FTA receiver yenye sehemu ya kadi naweza nunua kadi na kupata hizo channel zao..??
Hawatoi huduma hiyoFananua vizuri hapa plz.. ni kwa TV tu au na mie mwenye FTA receiver yenye sehemu ya kadi naweza nunua kadi na kupata hizo channel zao..??
Inawezekana sehemu yoyote kwa dish lkn antena ni maeneo ya mjini pekee, mimi pia nipo Geita na ninaweza kufanya hii kitu nicheki kama unahitaji mkuuHadi mikoani inashika? Mfano geita
Hizo channel ni bureLocal napata itv, capital, eatv na ile ya msumbiji na radio zake. Fundi aliniambia kuna uelekeo naweza pata channel ten, ten plus, clouds, tv e, tbc, startv. Nikachagua huo wa kwanza.
Pia unaweza ongeza LNb ndogo kwa ajili ya channel kibao za nje.
Usihangaike kutafuta fundi homeboy ingia google. Amini ukimwita fundi kabla hajaja huwa anapitia google kwanza.Shukran sana.. naona bora niunganishe dish maana ninalo tayari la ziada.. je unapata local channels zote? Je ni uelekeo upi umeweka, au niongee na fundi atajua namna ya kufanya?
Mkuu hizo channel zote unapata bure au unalipia?na kama unalipia ni kwa njia gani?TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
Hulipii! Unapata bureMkuu hizo channel zote unapata bure au unalipia?na kama unalipia ni kwa njia gani?
Upo mkoa gani mkuu?TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
Hiyo hapo boss mimi natumia hiyo camcad ya azam ktk smart TV yangu .king'amuzi cha ndani ya TV kimekuwa cha azam View attachment 1929982View attachment 1929983Hilo tobo la kutia kadi mboni silioni!
NA DISH LA FUT 3 AU 6Mimi yangu natumia dish. Nimeunga direct waya toka nje hadi kwenye tundu la LNb. Napata local channel.
Antena unaweza nunua startimes au dukani tu. Zile miba ya samaki.kwauelekeo upi?
Naomba namba yako ya simu mkuu nikuulize kituMimi yangu natumia dish. Nimeunga direct waya toka nje hadi kwenye tundu la LNb. Napata local channel.
Antena unaweza nunua startimes au dukani tu. Zile miba ya samaki.
Nnaomba namba yako ya simuUpo mkoa gani mkuu?