Habari za weekend wadau.
nataka kununua tablet kwa online shopping,lakin nakuwa na hofu juu ya baadhi ya sifa za vifaa hivyo ambazo zitaifanya ikifika hapa kwetu(Tanzania) isifanye kazi kama ilivyokusudiwa.mfano nilipitia post fulan baadh ya wana jf wameshauri kuwa,zile zenye cjui GSM network,hapa kwetu hazifanyi kazi.
naomba msaada wenu wakuu,kwa wale wenye utaalamu na hivi vitu.
natanguliza shukrani kwenu.asante.
nataka kununua tablet kwa online shopping,lakin nakuwa na hofu juu ya baadhi ya sifa za vifaa hivyo ambazo zitaifanya ikifika hapa kwetu(Tanzania) isifanye kazi kama ilivyokusudiwa.mfano nilipitia post fulan baadh ya wana jf wameshauri kuwa,zile zenye cjui GSM network,hapa kwetu hazifanyi kazi.
naomba msaada wenu wakuu,kwa wale wenye utaalamu na hivi vitu.
natanguliza shukrani kwenu.asante.