Msaada kuhusu specification za tablet na kununua bidhaa online

Msaada kuhusu specification za tablet na kununua bidhaa online

Leembaswagger

Senior Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
100
Reaction score
34
Habari zenu wanajamvi,poleni na kazi.

Nimebook tablet aina ya AJO Jumbo 11 tablet katika kampuni ya kaymu, naomba msaada wa specification za tab hiyo kama yupo anaeijua,pia usalama wa pesa yangu endapo ntaamua kuilipia kwa sababu mimi nipo mkoani,je shipping system yao ni salama?
 
Back
Top Bottom