Jerry95
New Member
- Dec 14, 2020
- 4
- 3
Miezi mitano iliyopita nilinunua simu aina ya Samsung S9 plus kumbe hii simu ni refurbished ina tatizo la network ukiweka laini karibia zote muda mwingine inaandika emergence mara mtandao unasoma.
Afadhali kidogo laini ya halotel ndo ina kubal ila sometime nayo mtu akikupigia naambiwa sipatikani, nikarudishadukani nikapewa nyingine nayo hivo hivo hadi leo natumia hii simu ila mtandao haupo vizur kabisa, hii simu nakubali nimepigwa,nimepoteza lak 9 na 50 hata miezi sita bado ina nikosesha mambo mengi sana muda mwingi naambiwa sipatikani.
Naomba msaada kama kuna mtu anatumia au alishawahi kutumia SAMSUNG M51 anipe feedback iko poa au nayo inazingua, maana nishapoteza pesa nyingi kwa hiyo naogopa sana, kama kuna mtu anatumia au rafiki yake anatumia au ulishawahi kutumia nisaidieni.
Afadhali kidogo laini ya halotel ndo ina kubal ila sometime nayo mtu akikupigia naambiwa sipatikani, nikarudishadukani nikapewa nyingine nayo hivo hivo hadi leo natumia hii simu ila mtandao haupo vizur kabisa, hii simu nakubali nimepigwa,nimepoteza lak 9 na 50 hata miezi sita bado ina nikosesha mambo mengi sana muda mwingi naambiwa sipatikani.
Naomba msaada kama kuna mtu anatumia au alishawahi kutumia SAMSUNG M51 anipe feedback iko poa au nayo inazingua, maana nishapoteza pesa nyingi kwa hiyo naogopa sana, kama kuna mtu anatumia au rafiki yake anatumia au ulishawahi kutumia nisaidieni.