Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
hahahaha! dah mkuu nimepiga pale pia! kunaticha yuko pale anaitwa PRUDENCE! na MZEE NYANGU ndo head kwasasa! ila minilisoma wakati wa MZEE MBANGA! mazingira yako fresh tu maji na umeme huwa haukatiki! harafu kuna ticha furani anaiywa NDEKWA nimnoko kichizi! afu utakuwa unaenda kutembea GANZO na MWADUI ukipenda unaweza kuwa MHABESH!
we wa ukweli