Msaada kuhusu shinyanga sec...shybush.

hahahaha! dah mkuu nimepiga pale pia! kunaticha yuko pale anaitwa PRUDENCE! na MZEE NYANGU ndo head kwasasa! ila minilisoma wakati wa MZEE MBANGA! mazingira yako fresh tu maji na umeme huwa haukatiki! harafu kuna ticha furani anaiywa NDEKWA nimnoko kichizi! afu utakuwa unaenda kutembea GANZO na MWADUI ukipenda unaweza kuwa MHABESH!

we wa ukweli
 
kuna thread nilianzisha inahusu ubaya wa mwl. Prudence ngoja niirudishe hewani
 
suruali nyeusi na shati nyeupe ila hakuna label (nembo) kabisa pale shybush. Kuhusu umbali kutoka town mpaka maganzo (kituo ambacho shule ipo pia ni kama mji kwa wakazi wa wilaya ya kishapu) ni kutoka ubungo mpaka kibaha ni kama around 50-60 kms.

Ni shule nzuri. Shy town to magazo ni 23kms. maganzo Shybush ni 3kms. Maji yakikatika mnavuka geti la idara ya maji kuingia mwadui kwenda kufua. viwanja vya michezo vipo.
 
Mi nimemaliza hapo shy bush 2011,ackwambie mtu shule ile ni Bonge la skonga kwa kila kitu.Nachokushauri ukifika 2 omba wakupangie bweni la Twiga(bweni zuri sana lile).Pia ucsahau kuandaa hela ya mapuru but c lazima kwani waweza kuwa mpulizaji mzuri tu.Ukifika mpe hai xana ticha wangu wa namba Mwl.Hindishi(ki2 cha gongo)
 
Kuhusu mazingra yake...!
Na info zake.please kama ujui acha.
Nadhani wachangiaji wengi wamekueleza ukweli kuwa ni shule nzuri. Cha msingi jua unaenda kufanya nini maana kama unaenda na usharobaro utafeli, nenda ukijua walimu hawatoshelezi ila mazingira ni mazuri kwa kusoma maana hakuna vishawishi. Nakumbuka wakati napangiwa shule hiyo nilishtuka sana ila nikaenda, katikati ya form v jamaa kibao waliotoka dar wakaomba uhamisho, sisi tukakomaa, na prudence tukawa tunamchangia. Nusu ya darasa la PCB tulifaulu kwa div 1 na 2 na almost 70%-80% ya form six tulikwenda chuo kikuu, lakini wanafunzi wote waliohama na kujiunga na shule mbalimbali kama tambaza na azania day walifanya vibaya sana, hivyo nenda kapige shule.
 
Back
Top Bottom