Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo mimi nilisoma hapa shybush so nakupa ushauri with facts, mazingira ya shule ni fantastic cause hakuna shule ya gvt yenye services kama ile labda kidogo kibaha sec inafuatia, katika ishu ya supply ya water na electricity sikumbuki kama vishawahi kuwa tatizo labda now. Sema walimu sio kivile, cha kufanya we jiandae na mapindi by the time ukifika shybush we kula misuli tu. Vyumba vya madarasa viko poa ni ghorofa mbili na ziko block kama tano. Kuna mess (eneo la msosi) na vyoo viko poa yani katika mazingira ya kusoma iko okay. Kuna cubes (maeneo ya kulala) sema mtu mbili kitanda mna-share.
Kwa ninavyoifahamu hiyo shule ni bomba sana mazingira yake ni mazuri si unajua ilijengwa na mzungu so labda kama kwa sasa imechoka lakini aaahhh ni pazuri sana service zote zinapatikana vizuri nakumbuka jamaa waliokuwa wakisoma hapo aaahhh walikuwa noma sana vijana wanaimba kwaya mbaya mbovu na walikuwa ni vichwa sana. Nenda dogo usiogope utakuwa unakwenda Mwadui weekend kushangaa shangaa machimbo ya Almasi
Kwahiyo ma teacher ndo sokivile?? Wat. Abt uniforms zake za advance zkoje
Nakutoka shinyanga mjin kuna umbal gan had skul?? In kilometer?
Kwahiyo ma teacher ndo sokivile?? Wat. Abt uniforms zake za advance zkoje
Nakutoka shinyanga mjin kuna umbal gan had skul?? In kilometer?
suruali nyeusi na shati nyeupe ila hakuna label (nembo) kabisa pale shybush. Kuhusu umbali kutoka town mpaka maganzo (kituo ambacho shule ipo pia ni kama mji kwa wakazi wa wilaya ya kishapu) ni kutoka ubungo mpaka kibaha ni kama around 50-60 kms.
hahahaha! dah mkuu nimepiga pale pia! kunaticha yuko pale anaitwa PRUDENCE! na MZEE NYANGU ndo head kwasasa! ila minilisoma wakati wa MZEE MBANGA! mazingira yako fresh tu maji na umeme huwa haukatiki! harafu kuna ticha furani anaiywa NDEKWA nimnoko kichizi! afu utakuwa unaenda kutembea GANZO na MWADUI ukipenda unaweza kuwa MHABESH!suruali nyeusi na shati nyeupe ila hakuna label (nembo) kabisa pale shybush. Kuhusu umbali kutoka town mpaka maganzo (kituo ambacho shule ipo pia ni kama mji kwa wakazi wa wilaya ya kishapu) ni kutoka ubungo mpaka kibaha ni kama around 50-60 kms.
viwanja vipo na ticha wa michezo alikuwa MZEE PURU! afu kunamashindano ya mabweni kila term!Thnx kaka but vip kuna viwanja vya michezo?
nimesoma pale kwa miaka sita. Kuna mwl wa physics na chemistry anaitwa prudence a.k.a. 'mzee wa ushirikiano' bila kumpa pesa haingii clas
hahahaha! dah mkuu nimepiga pale pia! kunaticha yuko pale anaitwa PRUDENCE! na MZEE NYANGU ndo head kwasasa! ila minilisoma wakati wa MZEE MBANGA! mazingira yako fresh tu maji na umeme huwa haukatiki! harafu kuna ticha furani anaiywa NDEKWA nimnoko kichizi! afu utakuwa unaenda kutembea GANZO na MWADUI ukipenda unaweza kuwa MHABESH!
Mimi pia nilipiga shule shy bush. Ni shule yenye mazingira mazuri. Enzi nasoma form v walikuwa wakikaa wanne kwenye cube moja. form vi tulikuwa tukiishi wawili na cube moja kwa o level walikuwa wakiishi wanafunzi 8. viwanja vya michezo usipime. Nilikuwa kiongozi wa michezo na starehe nikashangaa sana nilivikuta vifaa vya hokey. Centre ya karibu kwa ajili ya kununua mahitaji yako iko eneo la maganzo na wakati mwingine mwadui mgodini. Huduma za dispensary ni nzuri na referral yaweza kuwa mwadui au shinyanga mjini ambako panafikika kirahisi. Kufaulu ni msuli wako tu dogo kwani walimu wanajitahidi
hahahaha! dah mkuu nimepiga pale pia! kunaticha yuko pale anaitwa PRUDENCE! na MZEE NYANGU ndo head kwasasa! ila minilisoma wakati wa MZEE MBANGA! mazingira yako fresh tu maji na umeme huwa haukatiki! harafu kuna ticha furani anaiywa NDEKWA nimnoko kichizi! afu utakuwa unaenda kutembea GANZO na MWADUI ukipenda unaweza kuwa MHABESH!
Nakuhusu sheria zao wako streect sana or?