kwa kozi alizoomba anaweza akapta Mungu anahusika kwenye hya mamboNaombeni msaada wadau, kuna dogo kakosa first selection na kaomba upya kama ifuatavyo
1.RUCU-Baed(remaining capacity 22)
2.SAUT(Arusha)-Baed(remaining capacity 233)
3.UDOM-Bachelor of arts in english(capacity 24)
4.MAKUMIRA(Arusha)-Baed(capacity 102)
5.KIU-Baed (capacity371)
COMB_ (HGL)
Matokeo (2 ya 11)
Vipi hapo anawezapata chuo, au afanye nn ili awe n uhakika wa kupata chuo.?
ushauri tafadhari.
Nashukuru kwa ushauriKwa ufaulu huo na choice alizofanya wala asihangaike naimani lazima atapata
Asante mkuu kwa ushaurikwa kozi alizoomba anaweza akapta Mungu anahusika kwenye hya mambo
Quantity surveying ni koz mpya pale Udsm watu wengi bado hawaja ifaham so competition ni ndogo ni koz iliyoanza mwaka Jana tuu na inahusu ujenz graduates ndo hawo wanaoitwa wakadiriaj ujenzi
Mi nilipata mwaka Jana kwa matokeo kama yakoAsante mkuu vipi wewe umechaguliwa hiyo quantity survey
Pole sana kwa kutoappear round ya kwanza japo umejitahidi ktk ufaulu wako. Kukosa round ya kwanza haimaanishi ndo uchague chuo chochote na course yyte, hope umepitia kila chuo ulichochagua kwa round hii ya Pili....so wait selection na kuwa na utulivu coz vigezo vya kuchaguliwa unavyoHizo kozi zote nilizojaza zina nafasi 40 na zaidi kidogo ndo zina afadhali. Nyingine nafasi 5 au 2 tu sasa hizo ndo sijaweka.
Uyo 100%Naombeni msaada wadau, kuna dogo kakosa first selection na kaomba upya kama ifuatavyo
1.RUCU-Baed(remaining capacity 22)
2.SAUT(Arusha)-Baed(remaining capacity 233)
3.UDOM-Bachelor of arts in english(capacity 24)
4.MAKUMIRA(Arusha)-Baed(capacity 102)
5.KIU-Baed (capacity371)
COMB_ (HGL)
Matokeo (2 ya 11)
Vipi hapo anawezapata chuo, au afanye nn ili awe n uhakika wa kupata chuo.?
ushauri tafadhari.
Ok,maana dogo alikuwa na wasiwasi wa kutemwa tenaUyo 100%
Asante mkuu nimepitia na kutathmini imebaki tu selection zitoke.Pole sana kwa kutoappear round ya kwanza japo umejitahidi ktk ufaulu wako. Kukosa round ya kwanza haimaanishi ndo uchague chuo chochote na course yyte, hope umepitia kila chuo ulichochagua kwa round hii ya Pili....so wait selection na kuwa na utulivu coz vigezo vya kuchaguliwa unavyo
Anatemwa vp nafas 300 na C rahisi ka unavo zan kwa division 2 kumbuka 65%washa Pata ambao bado ni 35 %Je na hapa vipi wa kuu division two 12 DCE haezi akatemwa tena?