Msaada kuhusu Printer L805

Msaada kuhusu Printer L805

Mondela

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2021
Posts
2,567
Reaction score
3,793
Habarini wakuu naomba msaada kuhusu bei halisi ya Printer L805 kwa Mwanza, maana kunajamaa namuulizia kuhusu bei et ananiambia kwa Mwanza zimepanda bei ni 850000 je' ni sahihi kwa bei hiyo maana kwa Dar zinaanzia kama sikosei 650000 hadi 700000 na point huko sasa iweje Mwanza ifikie 850000?
 
Inawezekana hao wa mwanza wanachukua mzigo dar. Na huku ni 750,000/- usafiri kuja huko ni elfu kumi kwa box. Inawezekana kabisa nao wanataka faida kubwa. Ila 805 zipo nyingi sana dar.
 
Inawezekana hao wa mwanza wanachukua mzigo dar. Na huku ni 750,000/- usafiri kuja huko ni elfu kumi kwa box. Inawezekana kabisa nao wanataka faida kubwa. Ila 805 zipo nyingi sana dar.
Yeah! Mkuu nilikuja huko mwezi ulio pita nikachukua laptop japo ya printer nilikosa sasa mwanza et ndio wana bei hiyo wakata dar ni 750000 hata kama ni cha juu sio hivyo
 
Back
Top Bottom