Msaada kuhusu post form education

Msaada kuhusu post form education

Mwemary

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2016
Posts
330
Reaction score
340
Msaada wa haraka kuhusu post form four education mm ni mehitimu kidato cha sita 1992 lakin kila nikijaza index namba yangu kipengele cha post education naambiwa wrong index number naomba msaada wa haraka kwani komebaki kipengele hicho tuuu
 
Kuwa makini,maana nasikia nacte wameandaa mkakati mzito kwa wote walioghushi vyeti kwa mwaka huu,
 
Kwani unatakiwa kujaza index no ya form four au form six..?
Wewe umeingiza ya form 6 pengine inayohitajika ni ya form four!!! Weka ya form four...
 
Mmmmhh jamani mbona tunatishana baada ya kuelimishana mbona siwaelewi
 
Back
Top Bottom