hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,297
- 80,156
Hahah hayo maneno huwa Yana access when penzi likiwa changa. ...watu huwa wanajiona kama wapo kwenye sayari mpya. .au wapo usingizini wanaota njozi tamu Hawa tamani hata kuamka
Usiombe watu wakulane. .wakisha kulana tu '' Mara mtu akipiga simu haipokelewi. ..Mara Akitumiwa text hajibu. .no caring kama awali. Full majanga -Mahusiano bwana dah! !
Usiombe watu wakulane. .wakisha kulana tu '' Mara mtu akipiga simu haipokelewi. ..Mara Akitumiwa text hajibu. .no caring kama awali. Full majanga -Mahusiano bwana dah! !
Sasa huku zaidi. [emoji23][emoji23]