rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,485
- 41,890
Napenda kuuliza jamani eti Utaratibu wa kumvalisha pete ya Uchumba mwanamke kama umezaa nae bila ndoa upoje??? Je lazima ndugu wawepo unapomvalisha au unawapa tu taarifa hasa wazazi kuwa nimepata mchumba na pete nishamvalisha bila wao kumuona physically na vip kuhusu kwenda kanisani maana me ni mkristo???
Pia vipi kuna uwezekano wa kufunga harusi kanisani wakati tuna mtoto tayari?? Nahitaji mwanga kidogo hasa wenye experience na hili suala zima.
Pia vipi kuna uwezekano wa kufunga harusi kanisani wakati tuna mtoto tayari?? Nahitaji mwanga kidogo hasa wenye experience na hili suala zima.