Msaada Kuhusu pete ya uchumba.

Msaada Kuhusu pete ya uchumba.

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,972
Napenda kuuliza jamani eti Utaratibu wa kumvalisha pete ya Uchumba mwanamke kama umezaa nae bila ndoa upoje??? Je lazima ndugu wawepo unapomvalisha au unawapa tu taarifa hasa wazazi kuwa nimepata mchumba na pete nishamvalisha bila wao kumuona physically na vip kuhusu kwenda kanisani maana me ni mkristo???

Pia vipi kuna uwezekano wa kufunga harusi kanisani wakati tuna mtoto tayari?? Nahitaji mwanga kidogo hasa wenye experience na hili suala zima.
 
Kama hujui vitu vidogo kama hivyo basi nikushauri usioe kwanza kausha walau mwaka mmoja zaidi.
Ni kuamua tu mwenyewe utaratibu unaoona ni mrahisi kwako ambao utaendana na bajeti yako. Ya nini kualikwa watu weeengi uingie gharama, aubya nini hadi ukafanyie ukumbini hata nyumbani panatosha.
 
Unasali kanisa gani? kwa sisi walokole hatunaga mambo ya kubariki ndoa yaan kama mmeshaishi au kuzini au kuzaa. Kama sio mpentekoste kuna kitu kinaitwa kubariki ndoa. Inakubaliwa. Cha kwanza nenda kwao binti ukatoe mahali then unamvika engagement siku ya mahali ( hii hata kama mmeshazaa), then ukimaliza mambo ya mahali nenda kanisa unalosali kwaajili ya process za kubariki ndoa.
Note: Anza kwenda kwao kwaajili ya kutoa mahali na kupewa fine za kumzalisha binti wa watu
Kwao wananifahamu na nilienda kujitambulisha baada ya kujifungua kuhusu mahari ndo bado mkuu...!! Duuh kumbe pete mpaka mahari nilipe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utambulisho kwanza Ila kuvishana Pete Ni mpk uwe umelipia mahari n kanisani ndoa unafunga Ila lazma urudi kundini wewe na mchumba wako
Hii ya kurudi kundini kweli maana me Ni mlutheri..!! Vip Kubariki ndo na harusi tofauti yake ni nini?? Au tofauti ni kiimani zaidi lakini mavazi hata ya kuvaa siku ya sherehe kama shela yanafanana???
 
Una experience. .hongera itanibidi nije kuongeza ujuzi kwako
Utambulisho kwanza Ila kuvishana Pete Ni mpk uwe umelipia mahari n kanisani ndoa unafunga Ila lazma urudi kundini wewe na mchumba wako
 
Harusi means ni fresh hamjawahi kuishi pamoja but kubariki ndoa ni pale mmeshaishi au kuzaa then mnabariki ndoa ili iwe halali. Pia achana na anayekushauri eti uhairishe, ukiahirisha means utaendelea kuishi katika uzinzi. Bora ubariki ndoa ili uwe huru
Ahaa nimeshaelewa mkuu ila Sherehe zote sendofd na harusi zinafanyika??
 
Kwao wananifahamu na nilienda kujitambulisha baada ya kujifungua kuhusu mahari ndo bado mkuu...!! Duuh kumbe pete mpaka mahari nilipe[emoji23][emoji23][emoji23]

Pete bila mahari ni sawa na kula ndio unawe mikono .... Mahari ni muhimu mara milioni kuliko hata hiyo pete, pete ni zawadi tu kwa mpenzi wako, I mean zawadi kama zawadi nyingine yoyote ile lakini mahari ni heshima kwa mke na familia yake pamoja na unyenyekevu wa ombi la kukubaliwa mke na wazazi.

Kwa kifupi, kama mahari ni gari then pete ni kale ka taa ka juu ndani ya gari ambako, ukifungua mlango huwa kanawaka
 
Napenda kuuliza jamani eti Utaratibu wa kumvalisha pete ya Uchumba mwanamke kama umezaa nae bila ndoa upoje??? Je lazima ndugu wawepo unapomvalisha au unawapa tu taarifa hasa wazazi kuwa nimepata mchumba na pete nishamvalisha bila wao kumuona physically na vip kuhusu kwenda kanisani maana me ni mkristo???

Pia vipi kuna uwezekano wa kufunga harusi kanisani wakati tuna mtoto tayari?? Nahitaji mwanga kidogo hasa wenye experience na hili suala zima.
inaelekea ww hauendagi kanisani wala jumuiya
 
Kama hujui vitu vidogo kama hivyo basi nikushauri usioe kwanza kausha walau mwaka mmoja zaidi.
Ni kuamua tu mwenyewe utaratibu unaoona ni mrahisi kwako ambao utaendana na bajeti yako. Ya nini kualikwa watu weeengi uingie gharama, aubya nini hadi ukafanyie ukumbini hata nyumbani panatosha.
huyu jamaa ni mweupe kwa kweli asubiri kidogo
 
Unasali kanisa gani? kwa sisi walokole hatunaga mambo ya kubariki ndoa yaan kama mmeshaishi au kuzini au kuzaa. Kama sio mpentekoste kuna kitu kinaitwa kubariki ndoa. Inakubaliwa. Cha kwanza nenda kwao binti ukatoe mahali then unamvika engagement siku ya mahali ( hii hata kama mmeshazaa), then ukimaliza mambo ya mahali nenda kanisa unalosali kwaajili ya process za kubariki ndoa.
Note: Anza kwenda kwao kwaajili ya kutoa mahali na kupewa fine za kumzalisha binti wa watu
Vipi akiwa ni mpentekoste ndio haruhusiwi kabisa kufunga ndoa na huyo mwanamke ama?
 
Hairuhusiwi kabisa. Ndio imetoka hivyo
Doh!! Imekula kwangu hii... na mimi nimemzalisha binti ila nahitaji kumuoa baadae na wote tumeokoka kwa maana hiyo sie ndoa ndio tusahau kabisa (lakini mchungaji wangu aliniambia haina shida)
 
Mhhhh kanisa gani hilo? mimi nachojua makanisa mengi ya pentekoste hamna kufunga ndoa, ila kama mlikua mnaishi hamjafunga ndoa hamjaokoka then mkaja kuokoka kuna utaratibu wa kupata cheti cha ndoa. Nadhani muulize mchungaji wako vizuri. Ulishamaliza kipindi cha kutengwa?
Ni TAG mkuu, sikutengwa aisee
 
Napenda kuuliza jamani eti Utaratibu wa kumvalisha pete ya Uchumba mwanamke kama umezaa nae bila ndoa upoje??? Je lazima ndugu wawepo unapomvalisha au unawapa tu taarifa hasa wazazi kuwa nimepata mchumba na pete nishamvalisha bila wao kumuona physically na vip kuhusu kwenda kanisani maana me ni mkristo???

Pia vipi kuna uwezekano wa kufunga harusi kanisani wakati tuna mtoto tayari?? Nahitaji mwanga kidogo hasa wenye experience na hili suala zima.
lengo la harusi ni nini wakati nyie ni wanandoa na mna mtoto tayari
 
Swali lako linatuwakilisha wanaume wengi wahumu JF hatuna ndoa ila tunawatoto
 
kama ulivyoshauriwa na mchangiaji mmoja kuwa kama hayo mambo ambayo yapo ya msingi kabisa (too basic need) na hata kijana mdogo tu wa form two anaweza kukuelezea kutokana na taratibu za koo zake wewe unaanzisha jukwaa ni bora ukasubiria hata mwaka mmoja kwanza kabla ya kufanya maamuzi ya kubariki au kufunga ndoa.
Pia kuhusu mtoto pia umeshajiridhisha kuwa ni wako??? Jiridhishe kwanza ili usije kuleta mada nyingine siku za usoni
 
Back
Top Bottom