Msaada kuhusu nissan mach(gari)

Msaada kuhusu nissan mach(gari)

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
832
Ninampango wa kununua kagari kadogo kwa usafiri wa kzn,nimeona kwenye mtandao,bei yake na cif ni usd 1350,na ni cc 990 ya 97,swali ,,uimara wake,utumiaji wa mafuta ukoje? Ushuru utakuwa je kwa kukadiria? Nawaclisha..
 
Ninampango wa kununua kagari kadogo kwa usafiri wa kzn,nimeona nissan mach kwenye mtandao,bei yake na cif ni usd 1350,na ni cc 990 ya 97,swali ,,uimara wake,utumiaji wa mafuta ukoje? Ushuru utakuwa je kwa kukadiria? Nawaclisha..

Mtaalamu Ramthods anasema hive....


[h=2]
icon1.png
Re: Vits, March, Duet[/h]
Karibu sana mkuu!

Embu cheki hii thread hapa, itakusaidia:

https://www.jamiiforums.com/matangazo...uki-swift.html

Tatizo la Nissan March na Vitz ni spea. Ni gari nzuri lakini spea zake zipo juu. Unaponunua gari, kama ungependa kupata unafuu wa matengenezo, tafuta gari ambayo vifaa vyake vinaingiliana na magari mengine mengi, au hizo gari zipo nyingi hapa mjini. Vinginevyo, spea zinakua ngumu kupata na bei inakua juu.

Kwa mfano, Fan ya Vitz ni Tsh 250,000 na ya Corolla unaipata kwa Tsh 35,000. Hope unaona mwenyewe gharama ya matengenezo inavyopanda ghafla.

Tatizo la Toyota Duet ni piston 3. Gari za piston tatu zinasumbua. Na gari chache sana za Toyota zina 3 pistons engine. Hii inamaanisha spea ni chache, na ukiipata bei ipo hewani.

Ila uchaguzi wa gari unategemea na kipato pia, na maisha ya mtu binafsi. Sio kila mtu anawasiwasi na spea au ulaji wa mafuta. Wengine they are much more after lifestyle and fashion - money is not a problem.

Labda uniambie, ungetegemea kununua gari la kiasi gani, na ungependa matumizi kwa siku (kwa mizunguko ya hapa na pale, kwenda ofisini na kurudi) iwe kiasi gani. Then tuangalie options nzuri kwako.

Karibu sana mkuu!​

.... ukiniazima tochi mchana haitanisaidia ....
 
Nunua tu mkuu ikifa (obvious) baada miaka 3 hivi basi unaipaki inakuwa ushpapata utamu/utility ya hela uliyonunulia
 
Hizi gari ndogo ambazo watu wanakimbilia kununua kwa ajili ya kupunguza gharama ya mafuta, spea zake ni ghali, hata hivo kama unategemea kuitumia labda kwa mwaka 1 au mwaka 1 na nusu halafu ukaiuza kabla haijaanza kusumbua ni vizuri, sio gari ya kutumia Muda mrefu: vits ni imara zaidi ya march, starlet ni imara zaidi na spea zake si ghali:
 
tatizo la nissan yoyote bana spea gharama mno, mi nshawahi kumiliki nissan, licha ya kuwa gharama pia kuzipata zinausumbufu kidogo,afu kitendo cha kuvuta mbele infact mi sikipendi kidogo
kama vipi nunua starlet huenda ikakufaa,
 
Back
Top Bottom