Vipi ubora wa picha zake mkuuMi ninayo Window Phone 530 toka August 2019,ilikuwa inaleta sms kwamba ikifika December 31/2019 haitaweza kuwa supported google hivyo baadhi ya program hazitafanya kazi ikiwemo Whats'app. kwa sasa natumia kama simu ya kawaida siwezi ku google, whatsapp. facebook,twitter nk.