Msaada kuhusu Microsoft Lumia 640

Mi ninayo Window Phone 530 toka August 2019,ilikuwa inaleta sms kwamba ikifika December 31/2019 haitaweza kuwa supported google hivyo baadhi ya program hazitafanya kazi ikiwemo Whats'app. kwa sasa natumia kama simu ya kawaida siwezi ku google, whatsapp. facebook,twitter nk.
Vipi ubora wa picha zake mkuu
 
Sawa jaribu ni rahisi kurudisha Ila fanya Kwa umakini

IMG_4689.JPG

Zoezi linaendelea



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom