not assigned
Member
- May 22, 2018
- 89
- 241
Habari wakuu,
Tangu kutangazwa kwa hizi ajira za ualimu, napata changamoto kuingia kwenye mfumo kwasababu nilisahau nywila ya kuingilia (password).
Nimejaribu mara kadhaa kubadili inaleta ujumbe "Failed to change password" naombeni msaada namna ya kulitatua hilo.
Pia na wengine wenye changamoto mbali mbali kuhusu huu mfumo tusaidiane hapa.
Tangu kutangazwa kwa hizi ajira za ualimu, napata changamoto kuingia kwenye mfumo kwasababu nilisahau nywila ya kuingilia (password).
Nimejaribu mara kadhaa kubadili inaleta ujumbe "Failed to change password" naombeni msaada namna ya kulitatua hilo.
Pia na wengine wenye changamoto mbali mbali kuhusu huu mfumo tusaidiane hapa.