Duuh, hii kamba Sasa... Hivi nawewe unawaamini hao wahenga Hadi Leo? Hebu nicafanulie atarudike kutoka MZA hadi DAR? [emoji16]Ukisha mchukua usigeuke nyuma kwani wahenga walisema ukigeuka nyuma hata kama umemtoa mwanza hadi Dar atarudi tu kwani kitendo chako cha kugeuka ndo humfanya akumbuke alilotoka
Mkuu ww una umri gani kwani?Sio kamba mkuu