Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,133
- 2,987
Wakuu habari, naombeni msaada kwa anayeijua simu aina ya Huaei mate 33.
Nilinunua kwa mtu ,wakati nainunua yeye alikua anaitumia na alikua anatumia laini ya malawi.
Sasa nikiweka line zetu hizi hazifanyi kazi,ila nikiweka ya malawi inasoma,sasa nmerudi zangu sehemu nayoishi ,ya malawi haiwezi kusoma.
Msaada hapo wakuu shida inaweza kuwa nini na nifanyeje
Nilinunua kwa mtu ,wakati nainunua yeye alikua anaitumia na alikua anatumia laini ya malawi.
Sasa nikiweka line zetu hizi hazifanyi kazi,ila nikiweka ya malawi inasoma,sasa nmerudi zangu sehemu nayoishi ,ya malawi haiwezi kusoma.
Msaada hapo wakuu shida inaweza kuwa nini na nifanyeje