Aisee hii ni balaa...wengi wanasubiria! Cjui kuna tatizo gani hukoNaomba kwa anayefahamu utaratibu wa kuomba kulipwa mafao haya anijuze tafadhali.
Watendaji wa huu Mfuko wana Kiburi cha hali juu ni Miungu watu kwa Wateja hawana majibu na kauri nzuri