Msaada kuhusu kupima DNA

Umesema kwel
 
Nashukuru kwa wazo zur
 
Umesema unampenda sasa nini kujitia stress ,ikiwa wako au isiwe wako wewe ni kungangana tu aikiwa mkubwa atakuja kukufaa huyo ,mtafutie wadogo wake at list wawe wa halali yaani owa .
 
Nashukuru
 
Duuh pole.

Ila Kamwe kama wewe NI Mwanaume using'ang'anie Mtoto na Mwanamke aliyemzaa Mtoto huyo.

Kama amesema siô wake Mpe.

Hata kama angesema ni wako alafu anataka Mtoto wake amlee mwenyewe. Mpe Mtoto wake. Huyo ni Mamaake. Yeye ndiye anazaa siô wewe.

Sijui Kwa nini Watu Wanaona shida katika Jambo hili.

Tafuta Mwanamke Mwingine uzae Mtoto Mwingine Lea. Akizingua naye mpe Mtoto wake. Tafuta Mwingine. Hivyohivyo

Yaani Mwanaume unaumizwa na ishu ndogo kama hiyo kana kwamba hauna uzazi.

Suala la Huduma hiyo inategemea na wéwe mwenyewe.
Kama amesema Mtoto siô wako Huna haja ya kumhudumia Mtoto àmbaye siô WAKO.

Hakunaga Baraka za namna hiyo.
Mtoto kama siô wako ujue siô WAKO.

Kama ishu ni adaptation. Tafuta Mtoto Mwingine àmbaye hamkuwa na uhûsiano wowote ule Wala huwajui ndugu Zake Kisha mfanyie adaptation

Hao wanaokuambia utabarikiwa hawaelewi chochote kuhusu Baraka
 
Gharama ya DNA ni Wastani wa 150,000.....!

All in all kila kinachotokea Kwa Binadamu kina sababu.
Ipo sababu Kwa Nini umeachana na huyo Mwanamke.....!
Pia ipo sababu Kwa Nini umeletewa huyo Mtoto na Mungu ili Umtunze...!
Mkuu kama gharama ni 150k naweza kupambna kidogo kidogo nkaipata niko Moro mjini inamana wanapima hospital za kawaida au kuna hospital maalum nsaidie kwa hilo kama unajua pia.
 
Asante mkuu
 
Ili akue akamtafute baba yake?

Kuna wanawake wapuuzi kweli. Huyo akikua mama yake lazima ampe sumu against baba alomlea

Mtoa mada usifanyie DNA tz, kafanye kenya, mara 3 kisha chk majibu
 
Wanawake saa nyingine ni wapuuzi. Mimi almanusura nibambikiwe watoto! Nina mtoto mmoja wa kwanza ni copy na mimi, babu yangu, baba yangu kuanzia tembea, ongea, cheka, kila kitu, meno... Ila kuna huyo wa pili niliona mbona simsikii Moyoni sio ule upendo wa mtoto wa kwanza..katoto kaanza kukua bhana bhana sijui yule mtoto kachukua kwa nani kana komwe e.t.c hayupo kabisa ila kafanana na jamaa mmoja hivi ambae nilishawahi kukuta chati zao mara kadhaa..

haya kuna mwanamke mwingine akataka kunibambikia mtoto wa kike, mtoto kuzaliwa kukua hakuna kabisa alikochukua ni tofauti hakuna tulichofanana hata kidogo..
Wanawake wapuuzi kabisa.
Hakuna baraka za kulea mtoto ambae amezaliwa ndani ya nyumba ambae sio wako hasa hawa wanawake wa kizazi hiki wasiokua na adabu. Baraka utazipata kwa mtoto ambaye ni Yatima hana baba hana mama huyo Mlee hiyo ni baraka kubwa sana.

Ukiachana na jembe langu la kiume hao wengine niliwahudumia mpaka wanazaliwa ila nilikua siwasikii Moyoni walipozaliwa kumbe Ulimwengu wa roho ulianza kunipa Dalili, sasa walivokua wanakua ndo kila kitu kikawa wazi ndugu Mwana Uzi kwangu mimi hakukua na haja na DNA maana kila kitu wazi hata ndugu zangu walisema unapigwa na wenyewe walikuja kujua nimegundua.! Na nilikua natuma pesa kama kichaaa na nahisi nililogwa nisijue chochote na kweli nililogwa baada ya kufatilia Kiroho.

Kwa scenario hizo Lazima mtu alogwe..! Wapuuzi sana hawa wanawake. Sasa baada ya kugundua nilikata mlija wa matumizi miaka 5 sasa na sitaki kuja kuwasikia tena kwenye maisha yangu.! Na deal na yule mtoto wa kwangu tu mmoja

NB; INAUMA SANA KUBAMBIKIWA MTOTO/WATOTO NA BAADAE KUJA KUJUA SIO WAKO..VERY PAINFUL

NI BORA ULEE MTOTO UKIJUA UMEMKUTA HUKO HANA BABA HANA MAMA UKAMCHUKUA AU SINGLE MAMA UMEMKUTA NA MTOTO HAPO UNAJUA KABISA NALEA KWA UPENDO USIO WA KINAFIKI.
 
Hapana hii italeta mtafaruku mkubwa mbeleni..Vipi huyo jamaa anayetajwa ni baba wa mtoto akaja kumchukua mtoto wake na wewe umegharamia kila kitu.
Ni bora kuziba ufa mapema kuliko kuendelea kuumia na maumivu maana huyo mwanamke atamletea maumivu yasiyokoma.
Wanawake wapo wengi atampata atakayemfaa atamzalia. Wanawake wapuuzi sana.

NB; HAKUNA MWANAUME ANAYEPENDA DAMU YAKE ITESEKE, ILA WANAWAKE NDIO SABABISHI WANAUME KUONDOKA NA KUWAACHA.
 
Huwa naskia kuwa DNA inapimwa kwa amri ya mahakama..... Yani mnakubaliana mama na baba then mnaenda mahakamani hakimu anatoa vielelezo ambavyo dktr ndo anapata ruhusa ya kupima DNA ili kuondoa mgogoro apo hospitalin... Niliskiag Huu utaratb ila Sina hakika nao sana....

Nakushauri mkuu.. kam wanadai mtoto sio wako basi we kausha miaka miwili hesab kam umetoa sadaka tu, sitisha Huduma zote kaa tuliza akili tafuta mwanamk mwngine ila asiwe kutoka mjini ndo wale wale watakuumiza kichwa. Mi ni muhanga wa ishu kam yako ingawa ni tofaut kidg khus mtoto.
 
kama hamjaoana kidinoi, mlikuwa mahawara tiu. Mtoto siyo wako. Wewe lea tu ukiweza, kama huwezi wacha wenzako walee.

Unampima DNA ili iweje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…