Msaada kuhusu kiinua mgongo kwa Private Sectors

nemnunu

Member
Jun 4, 2019
75
63
Hello, natumai wote ni wazima.

Naomba msaada kwenye mkataba imeandikwa mwajiriwa atalipwa mshahara wa siku kumi kwa mwaka mzima kama kiinua mgongo baada ya kumaliza mkataba. Hii ina maana ipi?

Ni siku kumi za kila mwezi au siku kumi kati ya siku 365? Mfano mtu aliye na mshahara wa laki3 kwa kanuni hiyo kiinua mgongo ni kama shilingi ngapi?

Naombeni mwenye kujua tafadhali.
 
Hello, natumai wote ni wazima.

Naomba msaada kwenye mkataba imeandikwa mwajiriwa atalipwa mshahara wa siku kumi kwa mwaka mzima kama kiinua mgongo baada ya kumaliza mkataba. Hii ina maana ipi?

Ni siku kumi za kila mwezi au siku kumi kati ya siku 365? Mfano mtu aliye na mshahara wa laki3 kwa kanuni hiyo kiinua mgongo ni kama shilingi ngapi?

Naombeni mwenye kujua tafadhali.
Nafikiri ni 30000 gawanya kwa siku 30 mfano so i 10k kwa siku so kama umefanya kazi miaka 10 basi wanachuku 100,000 ambayo ni sawa na pay ya 10days na kuzidisha kwa miaka 10 which is 700k.Wataalamu zaidi watakuja
 
Back
Top Bottom