Msaada kuhusu hii desktop

Msaada kuhusu hii desktop

desktop nzuri hii kama mtu yupo serious, am not sure ni i7 ipi ila hizo clock speed itakuwa ni nzuri
Dell (Core i7, HD 500, Processor 3.5, RAM 8gb) Dar es640976

Hizi desktop ni nzuri ila changamoto ni PSU zake ni ndogo (290W), halafu kuzibadilisha ni mtihani, power connector ya motherboard ni 8 pin, tofauti na hizi za kawaida tulizo zizoea na zinazopatikana kwa urahisi za 24pin.

Motherboard yake hii.
For-DELL-OptiPlex-9020-MT-LGA1150-DDR3-Q87-Desktop-Motherboard-PC5F7-N4YC8.jpg


Za kawaida
181_071.jpg


Kuna mtu namfahamu aliuza hiyo mashine kwa kushindwa kupata PSU kubwa.
 
Hizi desktop ni nzuri ila changamoto ni PSU zake ni ndogo (290W), halafu kuzibadilisha ni mtihani, power connector ya motherboard ni 8 pin, tofauti na hizi za kawaida tulizo zizoea na zinazopatikana kwa urahisi za 24pin.

Motherboard yake hii.
View attachment 360476

Za kawaida
View attachment 360477

Kuna mtu namfahamu aliuza hiyo mashine kwa kushindwa kupata PSU kubwa.
mkuu almost pc zote za OEM zipo hivyo, motherboard, psu zinakuwa ni custom haziingiliani na za kawaida. hapo inabidi utafute low profile gpu ambazo hazitumii pin zinadraw power toka motherboard kupitia PCI kama vile 750ti hizi huwa TDP zake ni ndogo (60w kwa 750ti).

nimewahi kusoma mahala kuna njia za kumod hizi psu ila sijaingia deep zaidi kuangalia compability yake ipoje.

pia zipo cable hizi am not sure kama zinasolve ila ziangalie
8 Pin Power Supply | eBay

ipo desktop moja hapa nyumbani nitajaribu hii issue ya kumod halafu nitaleta feedback
 
Zeddicus Zu'l Zorander
lordD
William Ngotti

nimeanza kuona madukani desktop za ivy bridge (3rd generation) zimeanza kuingia bongo kwa bei nafuu kabisa.

mfano hii dell optiplex 7010 ina i5 3470 kwa shilingi 450,000 na nafkiri ukibembeleza inaweza shuka. uzuri wa hizi 3rd gen gpu zake kidogo zina ahueni games unacheza kwa resolution ndogo japo baadae utahitaji gpu nzuri.
635445933861210000_delloptiplex7010mtdesktop.jpg


duka lipo mtaa unaofatia baada ya aggrey linaangalizana na kanisa la KKKT
 
Thanks mkuu,ebu nitajie huo mtaa vizuri ili nije nimtume jamaa yangu akanichukulie anitumie maana mimi nipo Mwanza.
 
Zeddicus Zu'l Zorander
lordD
William Ngotti

nimeanza kuona madukani desktop za ivy bridge (3rd generation) zimeanza kuingia bongo kwa bei nafuu kabisa.

mfano hii dell optiplex 7010 ina i5 3470 kwa shilingi 450,000 na nafkiri ukibembeleza inaweza shuka. uzuri wa hizi 3rd gen gpu zake kidogo zina ahueni games unacheza kwa resolution ndogo japo baadae utahitaji gpu nzuri.
D
635445933861210000_delloptiplex7010mtdesktop.jpg


duka lipo mtaa unaofatia baada ya aggrey linaangalizana na kanisa la KKKT
Duka linaitwaje?
 
Mkuu naomba unipe direction mtu akitokea mwenge apande gari za wapi, na ashukie wapi ili niweze kumuelekeza mtu vizuri,maana mitaa ya dar sihifahamu vizuri.
anapanda gari za kariakoo, akifika sokoni mwisho wa gari aende aggrey wanapouza simu ni maarufu hata akiulizia ataambiwa, akifika hapo mtaa wa pili ndio una hilo kanisa siujui jina, ila ni kanisa la KKKT hilo duka linaangalizana na kanisa. ni duka kubwa sana la desktop nyengine zipo hadi nje
 
Jamani AMD RX Series na GTX 1000 Series zipo Tanzania? Nataka kuhama kutoka GTX 750 Ti
 
online siku hizi ni dola 100 tu kwa 750ti,

na nvidia wameshaanza kuzindua series zao mpya za 1xxx series imetoka 1080 na 1070 mpaka sasa hivi, sio mchezo hio 1070 tu nimeangalia benchmark zake zilizoleak imeipita hadi titan x, hali hio imepelekea gpu za mwaka jana kushuka sana bei sababu hazina thamani tena. ikitokea nvidia akizindua gpu kama 750ti isiokula sana umeme ujue hizi 750ti tutaziokota ebay kama takataka. siku nzuri zinakuja muda si mrefu
mkuu naona hakuna gpu kwa sasa inayoikamata gtx 1080 labda kidogo sapphire radeon R9 ila tatizo kwa gtx 1080 ni bei kubwa na inabidi ufunge ndoa na TanescO.
 
mkuu naona hakuna gpu kwa sasa inayoikamata gtx 1080 labda kidogo sapphire radeon R9 ila tatizo kwa gtx 1080 ni bei kubwa na inabidi ufunge ndoa na TanescO.
kuna nvidia titan x mpya ndio gpu yenye nguvu zaidi ya wateja wa kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom