Msaada kuhusu hii BVM

Msaada kuhusu hii BVM

Bachelor of Veterinary Medicine ni program ya miaka 5 inayotolewa SUA (prospective College of Veterinary and Medical Sciences) SUA. Ajira ziko za kueleweka na hata ukitaka kujiajiri inawezekana bora uwe na mtaji. Kama program nyingine yeyote unatakiwa uwe serious na masomo yako. Ukilinganisha na program nyingine uwe tayari kufanya kazi (darasani na practicals) kwa muda mrefu-free periods ni chache. Walimu wake wako serious to very serious-ni ngumu kiasi lakini inawezekana.Unaanza na Biomedical sciences, halafu paraclinical sciences na mwisho clinical courses and Public health. Mwaka wa mwisho unafanya special project (utafiti) na semester ya mwisho ni field attachment. Kila mwaka kuna field practicals.
samahani kwa division two ya 12 pcb anaweza pata?
 
Utakuja wakati mwafaka, kwakuwa now ile faculty ya veterinary medicine imekuwa COLLEGE OF VETERINARY AND MEDICAL SCIANCES (CVMS) kwahiyo kimekuwa chuo ndani ya chuo
 
VETERAN by definition;-
A person with long experience of a particular activity.
OR
A person who has served in the armed forces, especially an old soldier who has seen long service.

Sasa wewe unataka kusoma digrii yake.
atkuwa amekosea kuandika may be alimaanisha Veterinary medicine na si veterani lakini hongera sana kwa kuelezea maana ya hilo lako: naamini aliye kosea kuandika atakuwa makini wakati mwingine.
 
BVM ndio kozi rahisi rahisi kuliko kozi zote pale sua. Tatizo lake ni muda tu wa kozi ambao ni mrefu.miaka mitano.
Ikifuatiwa na Bsc Agriculture general, Bsc Agric Engeneer, Biotechnology ,nutrition, informatics

Hizi ndio kozi rahisi sana kupita maelezo na zina future nzuri sana.
Ni very rare kusikia mtu wa kozi hizi ka-disco . Mara nyingi wanaishia ku-carry tu.


Ukilinganisha na kozi ngumu sana ambazo ni pamoja na Bachelor of Rural Dev, BTM, Extension, informatics, agribusiness, wildlife
 
wakuu nimejaribu kuchagua hii kozi ya BVM i mean bachelor of veteran medicine pale SUA.
Je hi kozi inakuaje hapa tz kwani nahtaji kuingia huko.
Na je ajira zake zipo za kueleweka ama unaweza kujiajiri mwenyewe katika maisha baadae au ni lazima uajiliwe??
Kama unakichwa cha kisharobaro sikushauri uende huko!!!
 
Back
Top Bottom