Ooohh...Karibu kijana iko poa sana
Ok nilikosea kuandika mkuu so nipe darasa kakaAs long as bachelor of VETERINARY Medicine is concerned, karibu darasani.
Karibu naingia mwaka 5 sasa utatukuta kaka zakowakuu nimejaribu kuchagua hii kozi ya BVM i mean bachelor of veteran medicine pale SUA.
Je hi kozi inakuaje hapa tz kwani nahtaji kuingia huko.
Na je ajira zake zipo za kueleweka ama unaweza kujiajiri mwenyewe katika maisha baadae au ni lazima uajiliwe??
Karibu naingia mwaka 5 sasa utatukuta kaka zako
Haaa hapo poa sana. Karibu dunia yetu.wakuu nimejaribu kuchagua hii kozi ya BVM i mean bachelor of veteran medicine pale SUA.
Je hi kozi inakuaje hapa tz kwani nahtaji kuingia huko.
Na je ajira zake zipo za kueleweka ama unaweza kujiajiri mwenyewe katika maisha baadae au ni lazima uajiliwe??
Hakuna mteremko uwe tayari kuwajibika tu.Haaa hapo poa sana. Karibu dunia yetu.
Siku hizi hakunaga wakina mama pere* a na * mbarage ni mteremko tu.
Future yake ni certainly..
Hutakosa hela ya mboga asilani..
Pouwa sana kaka wangapi wanaweza mmi nishindwe kka ila uninitisha vibaya yaanYani ukipata iyo kozi jipange sana misuli mirefu yaukichaa.... Ajira usiulize ukishachaguliwa bcushaweza maisha kikubwa ukatoboe maana sua pagumu.... Iyo ni udaktari wamifugo
Ok pouwa kka eti ni kweli watu wqnavyosema huwa watu wanasoma miaka saba badala ya mitanoKaribu naingia mwaka 5 sasa utatukuta kaka zako
Miaka ni mitano but ukizingua I mean uki retake utaeza soma hiyo Saba... But kwann ufikirie kusoma miaka7 wakati ukijituma ipasavyo unamaliza bila shidaOk pouwa kka eti ni kweli watu wqnavyosema huwa watu wanasoma miaka saba badala ya mitano
Poa karibu Sana.....Ok pouwa i will make it first priority
Bachelor of Veterinary Medicine ni program ya miaka 5 inayotolewa SUA (prospective College of Veterinary and Medical Sciences) SUA. Ajira ziko za kueleweka na hata ukitaka kujiajiri inawezekana bora uwe na mtaji. Kama program nyingine yeyote unatakiwa uwe serious na masomo yako. Ukilinganisha na program nyingine uwe tayari kufanya kazi (darasani na practicals) kwa muda mrefu-free periods ni chache. Walimu wake wako serious to very serious-ni ngumu kiasi lakini inawezekana.Unaanza na Biomedical sciences, halafu paraclinical sciences na mwisho clinical courses and Public health. Mwaka wa mwisho unafanya special project (utafiti) na semester ya mwisho ni field attachment. Kila mwaka kuna field practicals.