Msaada kuhusu elimu na Vyeo Jeshini

Labda kama taratibu zibadilishwe sasa... ila wote naowafahamu wameingia na Degree zao moja... wametoka na nyota moja moja... zikatoka kozi wameenda sasa wana nyota mbili mbili...



Cc: mahondaw
Ilikuwa kabla ya Jiwe kuingia yani Jamaa JK aliwapa shavu snaaa ila jiwe lilipokuja ooho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089] Mambo sio kabisaa
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Nakumbuka cuz tulibebwa kilazima af siku ile watu hatukulala, ni kukabidhiana mabunduki na kulinda usiibiwe
sasa kuna kitu inaitwa Heavy heart na kaza viungo siku ukikutana nazo utajuta kupafahamu jeshini
 
Hata kwa yule ambaye uraiani amesomea degree ya uhandisi ila jeshini akataka akasomee urubani pia inawezekana?
 
Kwahiyo wote ambao ni wanajeshi hawajawahi kuulizia mishahara jeshini?
wanaulizia ila sio swali namba 1...siku zote mwanajeshi kweli hawazi mshahara anaulizia na kuwaza Kilichomfanya atamani kuwa mwanajeshi kisha ndio ktk story za kupoteza time Atauliza kuhusu mshahara.
 
Huyo mdogo wangu yeye jeshi analipenda na wala hauliziagi mshahara ila mimi ndo nimeona nimsaidie kuuliza humu na kama umesoma uzi wangu vizuri nimesema ningependa kujua mishahara pia kama ikiwezekana

Yaani hilo swali lilikuwa la nyongeza tu ila muhimu ilikuwa ni kujua kuhusu elimu na vyeo kama kichwa cha habari kinavyojieleza na ofcourse mimi siyo mwanajeshi na aliyeuliza hilo swali ni mimi na si yeye na kama umesoma vizuri sijaliweka swali namba moja
wanaulizia ila sio swali namba 1...siku zote mwanajeshi kweli hawazi mshahara anaulizia na kuwaza Kilichomfanya atamani kuwa mwanajeshi kisha ndio ktk story za kupoteza time Atauliza kuhusu mshahara.
 
Labda kama taratibu zibadilishwe sasa... ila wote naowafahamu wameingia na Degree zao moja... wametoka na nyota moja moja... zikatoka kozi wameenda sasa wana nyota mbili mbili...



Cc: mahondaw
Ndicho kilichopo na nimekisema mwanzo kabisa sasa hivi degree sio inshu jeshini na zilikuwa zinapigwa vita kwa sababu hiyo.
.
Sasa hivi ukiingia jeshini na degree yako sijui ya sheria sijui education utajiona huna tofauti na darasa la saba walioingia jeshini zamani utaanza na ukoplo au sajini
 
Yeah hilo sawa ila nilikuwa nauliza kwa mfano mtu hajawahi kabisa kusomea uhandisi yaani tuseme uraiani kasomea unesi halafu akaenda jeshini je inawezekana akasomea uhandisi huko jeshini kitu ambacho hajawahi kusomea hapo kabla?
Ndio inawezekana kabisa anafata tu utaratibu, unaotakiwa kama anachokwenda kusomea kipo ndani ya mpango wa jeshi anapewa na ruhusa kabisa nilikuwa na rafiki yangu mjeda tulisoma nae chuo safi kabisa no shida.
 
Unajua kazi za majeshi zilikuwa zinadharaulika sana zamani baada ya mambo kubana wengi wakakimbilia huko so promotion zilikuwa za kutosha hali hii iliamsha morale ya in service kujiendeleza pia!! mwisho wa siku degree zipo kibao jeshini, swali utawapeleka wote vyeo?? Bureaucracy in kataa hapo. Kwa mana hiyo lazima upepo ubadirike. Kwa hiyo mkuu wengi hawalijui hili wanaishia kukariri tu ukiwa na degree lazim uwe officer some thing wrong!
 
Kwanza atambue degree sio kigezo cha kupata nyota,na ni elimu ya kawaida sana Jeshini,wapo wengi mno.Anaweza akapita kote, kuanzia Jkt,Tpdf na akafika kozi ya uofisa akachemka.Namshauri kama ataingia jeshini aingie tu,asijiwekee atakuwa nani huko mbeleni,hayo yanakuja tu.Hata asipokuwa afisa bado atakuwa vzr tu sio lazima awe afisa.Akienda na akili hiyo tangu awali atachemka tu.
 
Huku kwetu nmeona sanasana ambao wanaenda kwenye hizo OP ni kuanzia rank ya Major kushuka chini yaani Captain, Leutenant na kuendelea kushuka chini. Ila kuanzia Leutenant Colonel, Colonel na kuendelea kule mbele sijaonaga kama wanaenda OP
Wa huku kwetu huwa hawaendi kabisa?
 
kwa wasiojua JWTZ kuna kila taaluma kuna maproffessor na watu wa PhD wengi tu.
Mfano waligoma waongoza ndege hawa jamaa wakaingia kusaidia
.Wakagoma Ma Dr Muhimbili hawa jamaa wakaingia kusaidia.
Ninachowapendea hawa jamaa sio watu wa rushwa wao ni amri.
 
 
Sidhani. Ukifaulu tu utapata nyota moja. Nyota ya pili hutolewa kwa bidii kazini, nyota ya tatu kitabu major bidii, lt col kitabu, col bidii ndio wanavyofanya. Baada ya hapo wanaenda chuo cha viongozi ft Ikoma
 
Kuna suala la afya na utimamu wa mwili,uvumilivu nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…