Msaada kuhusu dusupay

Msaada kuhusu dusupay

Strong ladg

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
407
Reaction score
1,056
Wakuu habari,niende kwenye mada. Ambae ana uzoefu na hawa DusuPay naomba anishirikishe tafadhali. Je wako vizuri? Pesa zinafika kwa wakati?
Na pia je wanaruhusu utengeneze Payment links kama hauna document za biashara?
Mbarikiwe.
 
Wakuu habari,niende kwenye mada. Ambae ana uzoefu na hawa DusuPay naomba anishirikishe tafadhali. Je wako vizuri? Pesa zinafika kwa wakati?
Na pia je wanaruhusu utengeneze Payment links kama hauna document za biashara?
Mbarikiwe.
Hii post kwenye Tech/science forums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom