Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 91
Wanajamvi naombeni kwa anayejua kuhusu wizara ya kilimo,kuna mtu kaniambia kua wizara ya kilimo imeshapata kibali cha kuajili maafisa ugani wapya,sasa ningeomba uthibitisho kwenu wana jf maana kuna biashara nataka nianzishe sasa sitaki kupata hasara kuacha biashara yangu kwenda kazini