Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 850
- 661
Habari za asubuhi Wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2019 katika masomo ya Arts, Ivumwe High School mjini Mbeya. Shule ni ya umoja wa wazazi. (private school) japo ada kwa kiasi fulani inaeza lipwa na mtu wa hali ya chini.
Baada ya matokeo kutoka vizuri nili apply vyuo viwili cha kwanza ni IRDP Mipango Dodoma Bachelor of Urban Development and Environment Management na chuo cha mwisho kilikuwa UDSM Bachelor of Arts with Education in Chinese and English studies, na vyote nilichaguliwa kama nilivyoomba.
Baada ya kutuliza kichwa nika amua ku-confirm Mipango kwa moyo wangu wote mkunjufu. Wazo la kuhama chuo limeanza baada ya kukosa mkopo awamu zote mbili. Wazee wameshauriana kwamba niende hivyo hivyo, watajipinda kunisomesha. Dodoma sina ndugu wala mtu tunae mjua, gharama itakuwa kubwa mjini Dodoma (chumba, chakula, mahitaji ya shule sababu kozi yenyewe inamahitaji mengi).
Nataka niombe uhamisho toka Mipango kwenda UDSM Dar ambako nina uncle wangu anaishi uko pia ndugu wengi wapo huko ambapo mimi na wazee tumeona gharama ztapungua kwa kiasi fulani.
Swali ni kwamba: IRDP Mipango usajili unaanza tarehe 4 - 15 November na ratiba ya TCU transfer window linafunguliwa tarehe 5 - 15 November, kukusanya maombi ya transfer ni 16 - 30 November na majibu ya uhamisho yatatoka tarehe 7 December.
1. Je, usajili nitafanya kabisa katika Chuo cha Mipango huku nikiwa nishaomba uhamisho?
2. Ada ntakayolipa Mipango nayo itakuwa transferred katika chuo husika nilichoomba? (Sababu huwezi fanya usajili bila kulipa ada chuoni Mipango)
3. Na itagharimu pesa kiasi gani kufanya process za transfer?
Sababu kuu ya kuhama chuo ni kupunguza gharama za kimaisha kwa kiasi fulani. Wazee na uncle wameshauri hivyo na mimi nimekubaliana nao.
Pia natoa shukrani kwa wale wote mlionitia moyo na kunipa tumaini maana nianza kukata tamaa ya kusoma. Now nina nguvu mpya
Wakuu naomba msaada wenu tafadhali, Nimebakiza siku 6 tu kwenda chuoni na siku 7 kufunguliwa dirisha la uhamisho la TCU.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2019 katika masomo ya Arts, Ivumwe High School mjini Mbeya. Shule ni ya umoja wa wazazi. (private school) japo ada kwa kiasi fulani inaeza lipwa na mtu wa hali ya chini.
Baada ya matokeo kutoka vizuri nili apply vyuo viwili cha kwanza ni IRDP Mipango Dodoma Bachelor of Urban Development and Environment Management na chuo cha mwisho kilikuwa UDSM Bachelor of Arts with Education in Chinese and English studies, na vyote nilichaguliwa kama nilivyoomba.
Baada ya kutuliza kichwa nika amua ku-confirm Mipango kwa moyo wangu wote mkunjufu. Wazo la kuhama chuo limeanza baada ya kukosa mkopo awamu zote mbili. Wazee wameshauriana kwamba niende hivyo hivyo, watajipinda kunisomesha. Dodoma sina ndugu wala mtu tunae mjua, gharama itakuwa kubwa mjini Dodoma (chumba, chakula, mahitaji ya shule sababu kozi yenyewe inamahitaji mengi).
Nataka niombe uhamisho toka Mipango kwenda UDSM Dar ambako nina uncle wangu anaishi uko pia ndugu wengi wapo huko ambapo mimi na wazee tumeona gharama ztapungua kwa kiasi fulani.
Swali ni kwamba: IRDP Mipango usajili unaanza tarehe 4 - 15 November na ratiba ya TCU transfer window linafunguliwa tarehe 5 - 15 November, kukusanya maombi ya transfer ni 16 - 30 November na majibu ya uhamisho yatatoka tarehe 7 December.
1. Je, usajili nitafanya kabisa katika Chuo cha Mipango huku nikiwa nishaomba uhamisho?
2. Ada ntakayolipa Mipango nayo itakuwa transferred katika chuo husika nilichoomba? (Sababu huwezi fanya usajili bila kulipa ada chuoni Mipango)
3. Na itagharimu pesa kiasi gani kufanya process za transfer?
Sababu kuu ya kuhama chuo ni kupunguza gharama za kimaisha kwa kiasi fulani. Wazee na uncle wameshauri hivyo na mimi nimekubaliana nao.
Pia natoa shukrani kwa wale wote mlionitia moyo na kunipa tumaini maana nianza kukata tamaa ya kusoma. Now nina nguvu mpya
Wakuu naomba msaada wenu tafadhali, Nimebakiza siku 6 tu kwenda chuoni na siku 7 kufunguliwa dirisha la uhamisho la TCU.