Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 850
- 661
- Thread starter
- #21
Nop ntasoma kw kujbana matumizKwahiyo umeshapata sehemu ya kupatia pesa.
Nop ntasoma kw kujbana matumizKwahiyo umeshapata sehemu ya kupatia pesa.
Udom walitoa majina ambayo wao waliyapitisha wakayapeleka TCU ad TCU watoe majibu ndo utasajiliwaJaman nawaombeni msaada kwa yule anaejuwa, majina ya tansfer ya vyuo vkuu yalitoka illa taree ya kulipoti ndo bdo n muda unaisha ivi nyie mmeiskia taree ya kuhamia chuo haswa udom
Uwe unapitia post za juu.... Tareh ishapita tokea tar 7 ila hawajatoa kitu na hawana taarifa yoyote na iyo tarehe waliipanga wenyewe na wameshndwa kuifata... Watu wanahaha kila kona hawajui la kufanya..Jaman nawaombeni msaada kwa yule anaejuwa, majina ya tansfer ya vyuo vkuu yalitoka illa taree ya kulipoti ndo bdo n muda unaisha ivi nyie mmeiskia taree ya kuhamia chuo haswa udom
255222113691Uwe unapitia post za juu.... Tareh ishapita tokea tar 7 ila hawajatoa kitu na hawana taarifa yoyote na iyo tarehe waliipanga wenyewe na wameshndwa kuifata... Watu wanahaha kila kona hawajui la kufanya..
Nimetafuta nmber active ya tcu nichukue majibu nisaidie kutaaarifu watu... Sijapata number
Sent using Jamii Forums mobile app
255222113691
255222113694