Msaada kuhusiana na tigo post Paid

Msaada kuhusiana na tigo post Paid

thegreat1510

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,418
Reaction score
3,687
Wakuu kwema ,
Nimefungiwa laini yangu ya tigo kwasababu ety watu wengine hawajalipia huduma hio , kwanini wasifungiwe wao tu.

Wakuu mliowahi kupitia kero hii naombeni njia ya kusovu hili
 
Back
Top Bottom