Grena
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 656
- 1,557
Habari zenu wakuu,
Wizara wametoa majina ya shule na comb za waliofaulu form five.
Mdogo wangu alipata division two, ana A ya chemistry, B ya physics, biology, Geography na C ya hesabu. Masomo mengine ya arts yaliyobaki ana B.
Aliweka machaguo ya kuchagua comb chaguo la kwanza PCB, pili PCM na tatu PGM lakini Kapangiwa HGL, Makete iwawa secondary.
Kusema ukweli imekuwa siku ya huzuni Sana kwake, amelia yani hakutegemea Hilo sababu siku zote anapenda Masomo ya science.
Msaada kwa wajuzi hivi hakuna uwezekano atakavyoreport shule aombe kubadili comb iwe ya science au option ni kwenda Private tu.
NB; nimejaribu kugoogle hii shule haina comb za science option sio kubadili comb Tena Bali kubadili shule. Sijui serikalini ukiomba ubadilishe shule waliyokupangia Kama inawezekana.
Wizara wametoa majina ya shule na comb za waliofaulu form five.
Mdogo wangu alipata division two, ana A ya chemistry, B ya physics, biology, Geography na C ya hesabu. Masomo mengine ya arts yaliyobaki ana B.
Aliweka machaguo ya kuchagua comb chaguo la kwanza PCB, pili PCM na tatu PGM lakini Kapangiwa HGL, Makete iwawa secondary.
Kusema ukweli imekuwa siku ya huzuni Sana kwake, amelia yani hakutegemea Hilo sababu siku zote anapenda Masomo ya science.
Msaada kwa wajuzi hivi hakuna uwezekano atakavyoreport shule aombe kubadili comb iwe ya science au option ni kwenda Private tu.
NB; nimejaribu kugoogle hii shule haina comb za science option sio kubadili comb Tena Bali kubadili shule. Sijui serikalini ukiomba ubadilishe shule waliyokupangia Kama inawezekana.