nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Fidel, fidel??!!, hivi kweli unajua unachoongea,,au unataka kuchekesha tu hapa ndani,, kwani tunaposema katika shida na raha hii ndiyo tafsiri yake??? Ya kuvumilia hata unapoliwa tigo???.....hili ni tatizo tena kubwa sana, huyu dada lazima apate ufumbuzi tena haraka,,ila akisubiri eti yeye kuachwa..hapo utakuwa utata kwani huyo mumewe katili hawezi kumwacha ksb anapewa anachoka kwa huyo mke...kinachotakiwa ni mke kuchukua hatua,,kwani hapo hakuna mapenzi / upendo bali ni huyo mke kutumika tu na huyo mume kukidhi ushetani wa huyo mume.....
Hatua nyingi sana zimependekezwa humu ndani, zitafakari ili mwisho wa siku upate dawa ya hilo tatizo lako,,pole sana.
Hatua nyingi sana zimependekezwa humu ndani, zitafakari ili mwisho wa siku upate dawa ya hilo tatizo lako,,pole sana.