Hamjambo wana jamvi, nina hili tatizo ni miezi mitatu sasa. Mume wangu anataka tigo, ni mtu wa miraba minne ana kilo 110 ni mwanajeshi. Kuna siku akanitigo kwa nguvu, nililia sana nikashindwa hata kutembea. Sasa imekuwa kila baada ya muda fulan anataka tigo. Mpaka sasa kanifanya mara 3. Nimeenda hospital nikapata matibabu. Sasa ananitisha sana nimejaribu kumweleza kaka yake, kipondo nilichopata hakina mfano. Binafsi sipendi huu mchezo kabisa najua madhara yake. Kuniacha hataki. Naumia sana moyoni. Kuwaambia wazaz naogopa. Nisaidien mkakati wa kujitoa kwake au nikashtakije kwa wazazi. Naamin Jf ni sehem sahihi ya kupata michango ya kujenga.